Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all 4212 articles
Browse latest View live

JOINT INITIATIVES FOR VULNERABLES SUPPORT (MZEITUNI). added 2 News updates.

$
0
0

INSHA YANGU: ATHARI ZA VIRUSI VYA CORONA MWIBA WA NYIKA KWA WASIOONA NA WATU WENYE ULEMAVU WA VIUNGO NCHINI TANZANIA.

Jina kamili: Meshack Kisendi Masanja.

S.L.P 6085, Mwanza Tanzania.

Simu: +2550768177003.

Email: masanjameshack70@yahoo.com

Tarehe ya kuzaliwa: 16/8/1970.

Aina ya ulemavu: Asiyeona.

Jinsia: Mwanaume.

 

 

Kwa kipindi cha miezi mitatu yaani kuanzia March-June/2020 ikiwa ni baada ya serikali ya Tanzania kutangaza rasmi juu ya namna ya kila mwananchi kutambua, kuchukua hatua za kujikinga, kuzuia na kutoa taarifa ama kujitokeza kupima endapo atagundua kuwa na dalili za kuwa na virusi vya Corona katika vituo vya afya, Baadhi ya makundi ya watu wenye ulemavu yaani; Wasioona, Wenye uoni hafifu na Watu wenye ulemavu wa viungo ambao walikuwa wakipata mahitaji yao kwa njia ya kuombaomba mitaani waliweza kukabiliwa na changamoto za njaa, unyanyapaa, ubaguzi na kushindwa kabisa kupata mahitaji ya kila siku kulingana na serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la afya la ulimwengu (WHO) kutangaza njia zinazopaswa kuchukuliwa na kila mtu katika kuyakabili maambukizi ya virusi vya Corona.

Baadhi ya kanuni zilizowekwa na kusababisha shida na dhiki kwa makundi hay ani; 1. Kunawa mikono mara kwa mara kwa maji yanayotiririka kwa sabuni ama kwa kutumia kitakasa mikono.

2. kutokugusa uso, pua,, macho na mdomo.

3. kutokushikana ama kusalimiana kwa kumshika mkono mtu ye yote.

4. kukaa umbali wa mita moja hadi tat una mtu unayemhitaji kuzungumza naye ana kwa ana.

Kanuni hizi zilileta dhahama kubwa kwani kwa Wasioona Maisha yao ya kila siku hutegemea sana milango ya fahamu ya kugusa, kushika, kusikia na kunusa jambo ambalo lilikuwa linashikiliwa kwa asilimia 99 na kanuni nilizozitaja hapo juu, Kulingana na adha hii, Makundi haya yay a Watu wenye ulemavu yaliweza kuwa ni waathirika wakuu kwani hata ile misaada waliyokuwa wakiikusanya toka kwa wasamaria, wapendwa wenye huruma na hisani hawakuonekana tena na hata watu wenye ulemavu wenyewe waliingiwa na hofu kubwa dhidi ya kifo inayosababishwa na kuenea na kuambukizwa kwa virusi vya Corona.

Hebu fikiria> Asiyeona anapogundulika kuwa ameambukizwa virusi vya Corona na anatakiwa kukaa karantini kwa siku 14 ni maswaibu gani yanayomkuta tofauti na yule anayeona? Wapo watu wenye ulemavu waliopoteza uhai wao kutokana na kukutwa na kushambuliwa na virusi vya Corona mwenyezi Mungu na azilaze roho zao peponi.

Janga hili limetufundisha mambo mengi hususan sisi watu wenye ulemavu, Kwani katika kipindi hicho wenye daladala waliweza kukataa Wasioona na Wenye ulemavu wa viungo kupanda magari yao kwakuwa tu wakiwashika wanaweza kuwaambukiza virusi vya Corona, Licha ya uwepo wa matukio kadha wa kadha yenye kuonesha unyanyapaa na ubaguzi unaotokana na matokeo ya athari za COVID-19 Ni vema tukaikumbusha serikali, Wadau wa maendeleo na jamii kwa ujumla kwamba, majanga mbalimbali yanapotokea ni vema ubunifu wo wote unaobuniwa ili kuyakabili majanga hay ani vema uwe ni ule usiotenga kundi lolote la watu, ni vema ukawa shiriki, shirikishi na jumuishi, wenye kuzingatia mazingira Rafiki kwa kila mtu, usiovunja utu wa mtu wala heshima yake, Uwe wenye kulenga na kutoa thamani kwa kila mtu kwani hakuna haki bila watu wenye ulemavu.

Katika kipindi hicho, Watu wenye ulemavu tulishuhudia misaada ikitolewa kwa taasisi za afya pasipo kukumbuka kuwa yapo makundi ya watu wenye ulemavu ambayo hana uwezo wa kupata Barakoa, vifaa vya kunawia mikono na sabuni, Hata wabunifu wa Barakoa na vifaa vingine walipoanza kufanya ugunduzi wao walitengeneza vifaa vyao pasipo kufikiria kuwa Asiyeoona akivaa Barakoa yenye lastiki ya kubana masikio ataweza kusikia maumivu sana hali angali akiyategemea masikio hay ohayo katika kusikiliza vema, kufunikwa kwa pua kunamfanya asiweze kunusa vema ili kutambua anachokihitaji ili kumudu shughuli zake za kila siku, Wengine walitengeneza vifaa vya kunawia mikono vyenye kutumia mguu kukanyaga ili maji na sabuni viweze kutoka huku wakijua kuwa wapo watu wenye ulemavu wa viungo ambao hawawezi kutumia mguu kupata huduma hiyo, Hivyo basi, Hali hii, iliweza kubainisha wazi ukiukwaji na uvunjwaji wa sharia ya watu wenye ulemavu na hakuna chombo cho chote kilichoweza kusimamia ama kutoa maamuzi yenye kuwasaidia na kulind haki ya mahitaji ya wenye ulemavu japokuwa viongozi wenye mamlaka, watoa maamuzi na watunga sera walikuwepo wakitoa maelekezo na maagizo ya namna ya kulinusuru taifa letu dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.

Watu wenye ulemavu nchini Tanzania inatupasa tushikamane kwa pamoja katika kuitetea, kuisukuma na kuifuatilia sharia namba 9 ya mwaka 2010 (sharia ya watu wenye ulemavu ya Haki, Ulinzi na usalama) ikiwa ni nyenzo munimu ya kutokomboa dhidi ya vitendo vya unyanyapaa na ubaguzi katika mapambano ya ubora na thamani ya Maisha yetu.


Christian Association for Development and Aid updated its Home page.

$
0
0

 ABOUT CADA

CADA is an acronym that stands for Christian Association for Development Aid.  It is a Christian charity, non-profit, non-denominational, humanitarian aid and development organization which was formed in 1990 and officially registered in May 1990 by the Ministry of Home Affairs under the societies ordinance (Reg. No. SO No. 6797) and committed to improve the quality of life of people in the poorest communities and to give every person the opportunity to hear about the good news of Jesus Christ.  It is made up of members from different Christian denominations. As followers of Jesus Christ we are raising people to walk into a better future.  Every group of women, men, and young people are organizing themselves to confront the enormous challenges arising from entrenched poverty and ill health.  These situations are themselves linked to many other factors.   These include economic and social mismanagement, poor governance, failing investments, and climate change.

We are called to respond firmly and with conviction to these challenges confronting the communities.  Jesus own first public utterance “The Spirit of the Lord is upon me, therefore he has anointed me.  He has sent me to bring good tidings to the poor” (Lk. 4:18) invite us to take such action.  Again, in the parable of the last judgment we are told that we will be judged according to how we respond to the hungry, the thirsty, the naked and the stranger amongst us (Mt. 25:31-46).  Christian Association for Development and Aid (CADA) have to come to the forefront of this struggle.  We believe deeply that these oppressive conditions are temporary and that a new and better life is possible and within reach.  CADA operates in the Mara Region of Tanzania.

Our Vision,Mission and Values

                             VISION

CADA vision is to bring hope and build the capacities of marginalized and disadvantaged communities

                           MISSION

CADA Mission is to change lives of poor people through the compassion and connect them in fight to end poverty, working together and build the health enviroments they need to thrive in their communities

OUR CORE VALUES

CADA look forward to a society in which all can enjoy well being. Life in which care, reciprocity, acceptance, openness and equality are core values.  CADA is built on the collective experience to confront and respond to the many issues that threaten people’s fullness of life, and the well-being of their families, grass-root groups and communities.  We have learnt to rely on the leading of the Holy Spirit, on the integrity and on the importance of enabling people to take responsibility for improving their own lives.  CADA believe that human dignity comes from God, who breathed life into us and in whose image we are created.  Also CADA recognizes that human beings depend for their survival, wellbeing and prosperity on certain material conditions.  All persons have a right to live in peace and to participate in community with others.  Similarity, people have the right to earn a decent living which for many will be through gainful employment but for most will be through the work of their own hands in agriculture and enterprise.  Access to good nutrition and health care, education, and to acquiring a skill and other tools of a trade, are other basic human requisites for wellbeing.

CADA believe that society has a duty to make the realization of human wellbeing possible, and that we should be more supportive of people’s struggles to realize it.  For example, we believe that all persons should therefore have a right to social protection in the circumstances of sickness, disability, childhood, old age and unemployment.  Following the value of our vision, we consider that the poor and those who are socially vulnerable have the strongest claims on the conscience of society and the church. 

Strategic focus 2019 – 2024

CADA has identified the following key themes as central to its work:

1. Improving the conditions and quality of life of marginalized and disadvantaged groups: 

  • § People with disabilities
  • § Orphans and vulnerable children
  • § Widows
  • § Elderly poor 

2. Improving the lives and opportunities of women, youth and men skills

3. Securing the food security of rural and urban poor

4. Responding more effectively to health challenges and HIV and AIDS

5. Promotion of evangelism.

6. Information and Documentation centre.

7. Strengthening the capacity of grassroots community based groups.

8. Securing the food security of rural and urban poor.

9. Environmental problems.

 Improving the conditions and quality of life of marginalized and disadvantaged groups:

  • § People with disabilities

The challenge

Persons with disabilities in Mara Region are among the poorest of the poor, too little attention has been paid to them so far in development programmes.  Poverty, under-development and lack of resources in Mara Region have also an impact on the prevalence of disability and the less than adequate response by government.  Landmines and unexploded ordinance, and road accidents contribute greatly to the prevalence of disability.  In poor, rural communities, poverty, inadequate pre-post-and neo-natal health care, and the youth and illiteracy of mothers, all contribute to the increase in disability and exacerbate the conditions of disability among young women and newborns.  Persons with disability in the Mara Region have suffered no more no less of the discrimination and marginalization that all persons with disabilities have suffered throughout the country.  Services and aid to persons with disabilities were motivated by pity and charity, and predominantly provided by religious – based institutions and organizations.

One of the main challenges facing the recognition of the rights of persons with disabilities in the region, is the recognition of disability itself.  Without accurate and reliable data on the size, scope, types, prevalence and causes of disability, there can be no appropriate services or programmes and no proper response to the needs.  Persons with disabilities are a source of shame, a financial burden, even seen as a curse on their families

Our Response

CADA will facilitate community members to understand better the key cause and prevention of disability.  Therefore will promote landmine education and public awareness campaigns about the dangers of unexploded cluster bombs, and the like.  Public education and awareness about road safety and the dangers of reckless speed.  To increase the legal age for marriage and to provide young mothers with health and nutrition training, particularly in rural and poorer communities.

Orphans and Vulnerable Children (OVCS)

Challenge 

There is a growing number of orphans and vulnerable children in rural and urban areas of Mara Region.  Children have lost both parents, divorce, unwanted pregnancy, sexually exploited girls and re-marriage of deserted, resulting in psychological, social, educational and health consequences.  They are left without care and support.  Most orphans and vulnerable children have run away from their guardians and caregivers due to severe neglect and abuse.  

Our Response

Strengthen communities to support holistic child development and welfare at family, caregivers and community, and to improve the access of orphans and vulnerable children to health, education and social protection.

Widows

Challenge

Widows are among the most vulnerable in the community.  The social stigma attached to them deprives them of their basic human rights.  They are prey of physical and sexual assaults and harassments, accused of various sexual missed and are socially marginalized.  Prevented from inheriting her rightful assets, including things she herself brought into marriage.

Our Response

Promoting the welfare and economic empowerment of disadvantaged widows and education of their children and provide free healthcare in our community Health Centres and campaign to end harmful cultural practices which ignore the human rights of widows and lead to their dire poverty and social exclusion. 

Elderly poor

Challenge

Older adults face particular problems due to their age and life circumstances in the region, the elderly, they are taken care by family members.  However, due to financial strains and many other reasons there are a number of individuals growing old and finding themselves without a family to help them.  No health services, no food, no home care assistance.

Our Response

Making sure our loved ones are safe health, and happy in their own homes.  We need to ensure that the activities of daily living are met and they are receiving treatment in our CADA community Health Centres free of charge (James 1:27)

Emphasis

CADA will take the following steps to respond to conditions and quality of life of marginalized and disadvantaged:

  1. 1. Mobilize communities to understand and respond to issues of poverty and inequalities and factors that affect their livelihood.
  2. 2. Raising awareness, education and counseling.
  3. 3. Developing and establishing rehabilitation centres and children homes.
  4. 4. Building small community banks for WIDOWS savings and loans

Improving the lives and opportunities of women youth and men skills

Challenges

Recognizing the importance and need to introduce technical skills in various fields to women, youth and men, CADA will make arrangement to conduct programmes in this respect.  It should be noted that lack of appropriate skills is one of big problems facing the people of Mara Region and this partly explains the existence of the serious problem of unemployment especially among youths in this region.

Our Response

Promoting and generating employment opportunities to men, women, and youth and improving income of the people through developing and sustaining a technical oriented culture among the people.

Emphasis

  1. 1. Improve skills and capability to start and manage own project.
  2. 2. Collaborate with institutions responsible for the promotion and development of vocational training in the country and internationally.

 Strengthening the capacity of grassroot community based groups.

Challenges:

The role of the grassroot community based groups in the development process has received wide recognitions and need not be emphasized here.  Unfortunately these grassroot groups are incapacitated to execute their tasks to optimum level.  A few of the shortfalls are; inadequate elementary managerial skills technical skills, and lack or insufficient resource base.

Our Response

CADA intends to address these short comings in order to make and/or enable grassroot community groups contribute meaning fully in terms of their own development and overall social and economic development on a sustainable basis.  Identify grassroot community groups and training.

Emphasis

  • Increasing efficiency and effectiveness of grassroots community groups.

Securing the food security of rural and urban poor.

Challenges

In the community agriculture, there is an inadequate use of appropriate technology leading to declining productivity. Climate change and growing urban population pose challenges that will be much more difficult to solve.  Community produces less food than it requires.

Our Response

The majority of community members engaged in agricultural do so on a subsistence basis to meet the requirements of the family and then market any surplus production locally.  To address the food security situation, the ability of individuals and local communities to produce, access and afford food in sufficient quantities and quality.

Emphasis

To strengthen the food security of rural and urban poor CADA will:

  1. 1. Enable community member to promote farming methods that respect seed rights and are eco-friendly.
  2. 2. Enable farmers groups and individual farmers to acquire appropriate agriculture technology.
  3. 3. Promote indigenous food crops that are adaptive to drought
  4. 4. Support initiatives of poor urban households to improve their quality of life.

Responding to health challenges and HIV and AIDS

Challenges

Health delivery remains to be one of the leading problems facing the people of Mara Region, especially the poor rural community based masses.  It is greatly disturbing to note that the most affected groups resulting from poor health delivery programmes in rural mothers, children, disabled persons, widows, orphans, elderly poor and vulnerable children.  Many of community members of poor rural areas lack access to adequate health services even where they are able to pay.  Others lack access because they cannot afford the direct and indirect costs, including hospital charges, the long distances it may take to travel to a health facility, and having to pay for many of the drugs and services they need.  Many people suffer irreparable damage and death because they lack access to qualified medical personnel.  As a result many rely on alternative health care providers such as traditional herbalists, false prophets and healers and the use of indigenous medicine.

HIV and AIDS continue to present fundamental challenges to individual, families and communities.  The pandemic kills many community members each year, often leaving behind poor and stressed spouses, children, relatives and communities.  Next to Malaria, HIV and AIDS is still the leading cause of death in poor rural communities.  CADA is operating three Community Health Centres in poor remote rural areas and in contributing towards the fight against health problems facing marginalized and disadvantaged groups and poor community members.  Many poor patients come to the heath centres already in debilitated condition and must spend many days at the health centre before they can return home.  Likewise those who come for treatment are often unable to pay for these services, and CADA give them treatment free of charge.  In many cases abandoned by their relatives with no source of food or comfort during their stay.  The health centres are not equipped to meet the heavy demands placed by such patients on existing human, material and financial resources.  

Our Response

Providing medical care to vulnerable communities free of charge and creating awareness to expectant mother on health care and family planning, health centre building and renovating the same, procurement of health equipment and facilities.  Increasing access to HIV/AIDS information, education and training for poor communities of Mara Region.

Emphasis

CADA will:

  1. 1. Improving health standard of marginalized, disadvantaged, poor communities, mother and the child.
  2. 2. Strengthen the ability of community members to participate in the prevention and treatment of Malaria and TB.
  3. 3. Link with other agencies to advocate for access to health care for all.

Environmental Problems

Challenges

In Mara Region, environmental problems began with chance increases in climatic (low rainfall, etc.) which led to ecological crises (drought, and so forth).  These were compounded by the use of wood as people’s only source of energy.  Over the years this brought severe deforestation, which in turn caused soil degradation and in consequence, desertification and hence a real energy crisis in both urban and rural areas.  What followed was a fall in the quantity and quality of surface and subterranean water, aggravated by human activities such as over – pasturing, and not forgetting the impoverishment of degraded soil by the use of techniques that destroy ecosystems.

 Our Response

Raising awareness campaign on the management and exploitation of vegetable resources, particularly on reforestation through a programme of village forestry that legislates for the planting of trees and fruit trees, and an educational reorganization of charcoal burners.

 Emphasis

Promoting environmental education to enable people living in villages to create frameworks for the discussion of the causes and consequences of the degradation of their environment.

 Promotion of Evangelism

Challenges

In remote rural communities in Mara Region are unreached with gospel and need very urgent action leading to the development of the people spiritually and physically.

Our Response

Reaching the unreached people with the Gospel.  CADA will team up with Christians and concentrate on evangelism and discipleship training.  This includes open-air meetings, person to person witnessing, revival meetings leadership seminars Christian Ethics youth Ministry and Counseling and interschool rallies.

 Information and Documentation Centre

Challenge

Information is a source of power and control and therefore an important and powerful tool for a society in general without a proper information system, planning is done inconsistently resulting in poor policy formulation and decision making.  Unfortunately in our society, information collection, storage and retrieval and dissemination remain a serious problem.

Our Response

In this regard an information and documentation centre is to be established.  It s expected to play a major role in CADA’S constituency.  To provide a central pool of information and Data collection for the purpose of easy dissemination of the same, nationally, regionally and internationally.  Strengthening information between grassroot communities, government and other agencies, national and international.  Establishing a documentation centre.

Emphasis

Improving information storage, retrieval and dissemination/information flow.

PEACE BUILDING AND CONFLICT TRANSFORMATION

In Mara Region there has been an on and off clans clashes over several decades.  CADA has experienced most of Tarime and Rorya Districts families losing lives, homes, cattle’s, farms and properties in massive fights.  Issues like land disputes and cattle raids are a common cause of clan’s fights.  This has led to haltered and mostly when the youths grow up they remember their fore fathers & family members who were killed at these clans fights.  It’s like there is always a cold war.

Response

CADA believes that the Holy Spirit of God touches souls to gives wisdom, proper and peaceful techniques to help these clans live a peaceful life.  CADA will intervene and hold peace trainings and workshops.

CADA will help the youths of such clans work and live an brothers and sisters wherever they are.    CADA will conduct Bible readings, counseling and reconciliation.


 

PROGRAMS FOR 2019

This report provide information about programme which was implemented in the year 2019.

  1. 1. Counseling and treatment for WIDOW Programme.

 

The program intended to help Widows who are at high risk of having problems in poor remote rural villages surrounding CADA Health Centres. To facilitate grieving process and to have a positive effect on outcome.

The programme was implemented in areas of Nyamagaro Ward, Nyangoto and Sirari in CADA Health Centres by CADA Volunteers who have been recruited from throughout the communities, but especially from the medical and nursing schools, local health professionals and widowed persons. Widows met for three hours each week. They attended twenty weeks. The goals of the programme included the facilitation of the grieving process and, implicitly or explicitly, the prevention or alleviation of the detrimental consequences of bereavement.

 

At follow – up; after the widows stopped meeting, the most positive changes occurred in the consciousness – raising widows.

 

Some activities carried out by CADA Health Centres included:

 

  • Psychosocial support like counseling to widows.
  • Widows to overcome the symptoms of complicated grief and live a fuller life.
  • Techniques to pull widows out of isolation.
  • Provided with an excellent opportunity for anyone coping with bereavement.
  • 42 widows received counseling in CADA Health Centres.

 

 

  1. 2. Health Care for Orphans and Vulnerable Children Programme.

 Children need health care for survival. In poor remote rural areas many vulnerable and orphans are malnourished and sick, and need of free health care support increasing every day. The identification of children in need of assistance was done by CADA Health Centres volunteers who have deep – rooted knowledge of the Word of God, through community assessments. The programme was implemented in all CADA Health centres included child wood immunizations, vitamins and free health care, educational and nutritional counseling.

 

The program efforts were more successful and improved lives of orphans and vulnerable children. The activities carried out by CADA Health Centres included:

 

v 85 children received free primary treatment.

 

v 46 children received health education in Health centres.

 

v Achieved and increased child wood immunization – such that children were up to date on their immunization. 

The Mother and Child Health care Programme.

CADA delivered sustainable healthcare to vulnerable and marginalized women and children in the poor remote rural communities through the Mother and Child Healthcare Programme, in CADA Health Centres. Healthcare programmes aimed to reduce Anaemia in pregnant women and adolescent girls. The programmes promoted health, including diarrhea management, antenatal care, child nutrition and immunization. Volunteers provided education, training, disease awareness, family planning components and treatment of common diseases. Immunization now covers of 95% of the children in target communities.

The programmes has had considerable success. Infant and maternal mortality is down. Access to nutritional supplements, including iron, has led to a fall in Anaemia and iron deficiency in women and children. A majority of vulnerable women now have access to pregnancy care and safe delivery. Malnutrition among children and pregnant women has reduced, and the babies have a better birth weight.

Christian Association for Development and Aid updated its History page.

$
0
0

HISTORY

Christian Association for Development and Aid (CADA) was formed 1990 as humanitarian aid and development organization by Christians from different denominations. As a charity of Christ – followers committed to seeing people and communities holistically restored.

The CADA’s Mission is to change lives through the compassion and connect poor people in fight to end poverty and need in the poorest communities. We are empowering the marginalized and vulnerable, restoring dignity to their lives in poorest communities, in remote rural areas in Mara Region of Tanzania. Our Christian faith motivates us to serve people in need without regard to background, culture and faith. We are providing people with access to health care in villages with high risk of Nyang’ombe, Nyamongo mine and Sirari. CADA operating Community Health Centres in these villages contributing towards the fight against health problems facing poor communities.

CADA promoting land mine education and public awareness campaigns about the dangers of un exploded cluster booms which cause disability in land mine of Nyamongo. CADA Community Health Centre are giving treatment to marginalized and disadvantaged free of charge. CADA reaching the unreached with the Gospel.

Christian Association for Development and Aid added SAVE CHILDREN OF TANZANIA [SACHITA] to its list of Partner Organizations.

Christian Association for Development and Aid added AIDS CONTROL AND COMMUNITY DEVELOPMENT ORGANIZATION to its list of Partner Organizations.

St.Justin Centre for Children with Disabilities added 18 News updates.

$
0
0

large.jpg

The Centre Director Sr.Juliana M. Kitela(right) on behalf of the whole community of st. justin would like to express her sincere gratitude to the entire K.C.B.R.P leadership for their efforts to get the car as well as to thank M.I.V.A for accepting it so that we can get this car. either the vehicle will be properly maintained and used in activities to implement the C.E.P project

Oblige for Vulnerable Children Tanzania [OVCT] added a News update.

$
0
0

large.jpg

OVCT has provided the Most Vulnerable Children (MVC) with scholastic materials at Lighwa primary school on 12th Sept 2020 , while implementing the MVC Education Support Program which we are Partnering with Social Action Trust Fund (SATF) Organization.

Oblige for Vulnerable Children Tanzania [OVCT] has a new discussion about Education is the Keey to Sucess.

$
0
0
Oblige for Vulnerable Children Tanzania [OVCT]:

As the topic above demonstrates itself, on our opinion as an OVCT organization, we know that any child should be equiped/ impacted with Education so that he or she will perfectly encounter with her / his future life. How do you suggest about this issue about the Education to our children ?


St.Justin Centre for Children with Disabilities added 40 News updates.

$
0
0

large.jpg

The centre Director Sr.juliana M.kitela (right) on behalf of the whole community of St.Justin would like to express her sincere gratitude to the entire K.C.B.R.P management of their efforts to get the car as well as to thank MIVA for accepting it so that we can get this car. Either the vehicle will be properly maintained and used in activities to implement the C.E.P project

Bright Light Organization updated its Volunteer page.

$
0
0

Volunteers mission in Tanzania

It is a mission seek to bring social skills and experience in Tanzania voluntary to reduce social inequality between South and North hemisphere through volunteerism approaches by developing and supporting technical skills and research to find out sustainable solution to uplift the lives of the poor and most vulnerable communities in needy, share global experience in solving social economic challenges ,enhance and stimulate technical exposures to African expatriates to learn new and innovative social skills from developed world for local context .

To reach a dream to esteemed; Volunteer has to apply for an opportunity with resume attachment, pay eligible application fee and other obligation statues and up-on arrival, BLF will place in a variety of projects which include childcare and orphanage placements, teaching projects, medical and economic empowerment programs and no political rally, human rights champagne, any project for profit making and business investments mission.

 

Coordinating Organization:

This is a program organized and administered by BLF as a life-changing experience. In time you come in Africa to volunteer is a time to share your enthusiasm, time, skills, and energy and give out yourself in a way that allows you to effect positive change.

 Objective:

To strengthen the cultural and technical relationship between North and South in a sustainable mutual development and being provided the quality and standard services that protect the value of both cultures and experience met, Program is eligible to all people living outside Tanzania wish to come in Tanzania for volunteerism purposely preferably social development discipline. This organizations engages in the social development fields will provide an enlightening and rewarding experience for student and professional volunteers. The Internship/Electives in Tanzania offers you the great chance to extend your help and skills to others as well as gain relevant practical experience

A program made in well organized with relevant organization for nay volunteer wish to engages for an interest in volunteering and learning about another way of life and in a new culture, serving local children and mothers, disabled and youths lives, It can be as simple as sharing love and affection with locals, playing team-building sports with at-risk youth, sharing stories and photos with the elderly in a community, or practicing conversational English with youths and adults seeking new career opportunities. So we real need volunteers is an incredible way to work ,support and interact with the local communities of this enchanting East African country.

Eligibility

  • Graduating from school and taking a Gap Year
  • Not ready to jump into full-time employment just yet
  • Ready for a Career Break
  • Build new experience from difference cultural and under resourced environment
  • An 'empty nester'
  • Retired officer alike
  • Ready for a change or new adventure
  • Develop new project to implement in Africa.

WAPSAM Community Foundation updated its Team page.

$
0
0

WAPSAM Community Foundation runs his organization with a small Staff members. These include:-

  1. Wambura Paul Samson - Executive Director. 

  2. Vicky Senyael - Executive Secretary

  3. Samwel P.Wambura - Accountant/Treasure

  4. Lucas Paul - Program Coordinator.

  5. John Mwita - Field Officer.

  6. Albinus Mwita - Field Officer

  7. Malima Josephat  - Volunteer

The WAPSAM Community Foundation governing body meets ordinary thrice a year preferably every four months. These include the following members.

1. Bakari J. Mdoe- (Chairperson) 

2. Wambura Paul- (Secretary) 

3. Paul Matto-(Member) 

4. Neema Samwel- (member) 

5. Ndege Samson-(Member) 

WAPSAM Community Foundation added 3 News updates.

$
0
0

large.jpg

Group photo taken while visiting the Buturi school and identify some problems of the
vulnerable children. Left(back) is the teacher and right(back) is Mr. Wambura Paul
Samson, The WAPSAM community Foundation Executive Director.

WAPSAM Community Foundation updated its Projects page.

$
0
0

WAPSAM Community Foundation runs a various projects.  These includes:

1. Orphans and Vulnerable Children Support Project: Through "Jali watoto makundi maalum Project", the organization support these children’s into the areas of education, health care and nutritional support. 

2. Environmental conservation

Through Okoa Mazingira Yetu Project, the organization deals with the following:-

  • Tree nursery raising for different varieties and distribution to the communities.
  • Promotes sustainable agriculture and food security (Organic farming application).
  • Promotes Poultry keeping for the communities as an Income Generating Activity.

3. Health: Providing access to safe drinking water for the communities and HIV/AIDS awareness for the communities.

 4. Education: Provides school sundries, conduct vocational training, job creation programs and women’s empowerment programs. 

5. Information Communication Technology (ICT)

Through Rural Youth Computer Centre, the organization solicity used computer and install into village centres to prepare youth in vocational training entering into productive self-employment and transforming the attitudes of youth towards vocational trainings for entrepreneurship.

WAPSAM Community Foundation updated its Volunteer page.

$
0
0

VOLUNTEER PROGRAM ACTIVITIES

WAPSAM Community Foundation runs a flexible volunteer intern program with assignments built around the specific interests of the prospective volunteer.  Placements available includes:

1. Orphan's and Vulnerable Project: Through Okoa Watoto wetu Project, the organization cares and support these children’s into the areas of education, health care and nutritional support. 

2. Environmental conservation

Through Okoa Mazingira Project, the organization deals with the following:

  • Tree nursery raising for different varieties and distribution to the communities.
  • Sustainable agriculture and food security (Organic farming and application).
  • Poultry keeping project as an Income Generating Activity

3. Health: Providing access to safe drinking water for the children's and the communities and HIV/AIDS awareness for the communities.

 4. Education: Provision of school sundries, vocational training, job creation programs and women’s empowerment programs. 

5. Information Communication and Technology(ICT)

Through Rural Youth Computer Centre Project, the organization deals with soliciting used computers and install at various village centre to prepare youth in vocational training entering into productive self-employment and transforming the attitudes of youth towards vocational trainings for entrepreneurship. 

 

PROGRAM LENGTHS AND ROLES

WAPSAM Community Foundation volunteer programs are hands-on learning experiences that vary in length. We encourage volunteers to stay for at least three weeks, but volunteers are welcome to sign up for any length of time. Long-term stays of over six months are welcome and negotiable.

Many volunteers combine their stay with time spent doing more traditional tourist activities elsewhere in Tanzania - such as safaris, climbing and beach holidays. No matter how long you decide to volunteer, you will have a remarkable experience and will gain a firsthand understanding of how Tanzanians live their daily lives.

There are many ways in which our volunteers choose to spend their time and contribute towards WAPSAM Community Foundation . Most volunteers spend a proportion of their time with planning activities, outings and projects.

Whilst specific job roles and activities are flexible, according to your talents and preferences (and WAPSAM Community Foundation needs), volunteers often adopt one of the following job roles during their stay with us.

In practice, each volunteer brings their own skills, interests and experience, and can offer their own personal contribution and fresh ideas.

It is ultimately up to the volunteer to decide what they would like to do for WAPSAM Community Foundation, and most end up having multiple roles and projects. Volunteers are welcome at any time of our projects.

WHAT ELSE CAN VOLUNTEER DO?

Most of your volunteer work will be conducted during the day, Monday through Friday, and volunteers are encouraged to explore Tanzania and its nightlife during the evening and       weekends.Musoma is another starting point for visiting many of Tanzania's national parks and volunteers can easily arrange safaris to famous parks such as the Serengeti, the Ngorongoro Crater as well as many others.Musoma also has reasonably-priced air links to most destinations in Tanzania, including Zanzibar.

You may want to visit the Julius Nyerere (Tanzania’s first president) Museum on the outskirts of Musoma town where you can observe local dances and customs, or participate in cultural tourism programs that provide a unique look at village life. However, you may also refresh your mind visiting Lukuba Island at Lake Victoria where you will involve into swimming and canoeing. Mwanza is located a few hours by bus or flight from Musoma. Located on the shores of Lake Victoria, Mwanza is the second largest city in Tanzania.

HOW TO VOLUNTEER

 WAPSAM Community Foundation has the ability to create a customized volunteer program that matches your interests, skills and time.Volunteers are responsible for obtaining a return ticket, health insurance, and the appropriate visa before their departure to Tanzania.

 If you are interested in becoming a WAPSAM Community Foundation volunteer intern, contact us by stating:

  •  Your age and Interests,
  •  A brief summary (or CV) of your relevant education and experience,
  •  A description of the types of projects that interest you, and
  •  The time estimates that you would be available.

 PROGRAM FEES

No program fees will be charged to you apart from training of Kiswahili which provided at affordable price on the request of the volunteer.However we   encourage you to be creative and innovative for the project to be successful.We also remind you to raise funds through your community, friends, family, place of work or local religious establishments to cover your own expenses during your stay.

We look forward to hearing from you!

For further information contact:

The Executive Director,

WAPSAM Community Foundation

P.O. Box 1018,

Musoma,Mara-Tanzania.

Mob: +255 657 213630 / +255 757 196238

         wcf02020@gmail.com 

Or visit our Offices at:

Mulima Mukendo Street,

Old Musoma Rural District Council Buildings,

Opposite Musoma Airport,

P. O. Box 1018

Musoma,Mara-Tanzania.

Come and Volunteer

with Us!

 

WAPSAM Community Foundation added Local Government of Mara Region to its list of Partner Organizations.

$
0
0

The local government of Mara region, through the Department of community Development has been supported the organization into various numbers of supports and collaboration. These include Coptic Orthodox Church, Musoma Football Academy (Gorman project), Buturi Pre & Primary School and Family Smile Organization.


WAPSAM Community Foundation added 4 News updates.

$
0
0

large.jpg

The teachers teaches the children in class to measure the teacher skills. This was done
at Buturi School, Rorya district, Mara region Tanzania.

PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR) updated its UCHIMBAJI WA VISIMA page.

$
0
0

HATUA ZA UCHIMBAJI WA KISIMA

WATER FOR ALL AFRICAN PROJECT (Waap)

1) Ufanyaji wa utafiti wa maji ya ardhini (underground water survey) PDPR tunatoza laki 4, na kama eneo lako lipo mbali utatozwa na gharama ndogo za usafiri kati ya laki 4.5 hadi laki 5 ambapo report yako utapata siku hiyo hiyo na utajua kina, wingi wa maji N.K, "Tunashauri survey itangulie walau siku mbili hadi wiki, hadi siku ya uchimbaji kutoa nafasi kwa Wataalamu kuzitathimini taarifa walizo zipata na kufanya ushauriano na maamuzi ya mwhisho" Malipo ya survey hufanyika siku hiyo hiyo ya ufanyikaji wa survey mkiwa site/baada ya kutoka site.

2) Maombi ya kibali cha kuchimba kisima (Drilling permit) Hutolewa na idara ya maji hasa kupitia ofisi za mabonde Laki mona na nusu 150,000/= "Mteja anashauriwa ndiyo afuatlie ili kutoa nafasi kwa PDPR kuendelea na kazi zingine kwa kuwa mteja yupo karibu na offisi hizo"

3) Uchimbaji kwa kisima kisicho na mwamba ni 50,000/= kwa mita moja na kwenye mwamba au jiwe 75,000/= kwa mita pamoja na UPVS ya inchi 4.5 au 5,

4) Pump itagharimu laki 8 hadi 1m pamoja na vifaa vyake,

5) Maji yaliyopatikana yanatakiwa yapelekwe maabara talapimwe (Water Analysisi) Laki 1.5 na utapewa cheti chako cha maji, Mteja anashauriwa ayapeleke mwenyewe maji yakapimwe.

6) Usajili wa kisima na kulipia ana ya kisima kila mwaka.

 

 

MKATABA WA KUCHIMBIWA KISIMA

 

Makubaliano haya yamefanywa   KATI YA

 

Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR), Website: www.envaya.org/pdpr

 Email: pdprngo@gmail.com…./…./2020

 

                                                            NA

………………………………………………………

………………………………………………………

 

1)      Kisima kitachimbwa katika eneo la ……………………………………… ……………….

KM …………… toka Mjini, KM ………. ngapi toka barabara ya rami.

2)      Maji yatatumika kwa ………………………………………………………………………

3)      Unakusudia lini tukuchimbie kisima ………………………………………………………

4)      Gharama za uchumbaji:

  • Survey ni laki 4 kwa kila maeneo ya karibu au mkiwa wengi na kama upo mbali laki 5 ikijumlisha na usafiri, Malazi na chakula.
  • Kila mita moja utalipia 45,000 pamoja na casing (PVC) kwa sehemu zisizokuwa na mwamba na elfu 70,000 kwa maeneo yenye miamba pamoja na cassing.
  • Gharama ya water pump itategemeana na urefu wa kisima ila ni kati ya Milioni 1 hadi 3 kufuatana na aina ya pump na urefu wa kisima.
    • Umeme 1m,
    • Diseal 2m – 2.5m,
    • Solar 3m hadi 6m,

5)      Mteja atawajibika kufanya malipo ya awali 50% ya gharama ya uchimbaji bila pump ambapo mitambo ikiwa imefika site kwake kuanza kazi au anapokabidhiwa kuondoka nayo kwa site zilizo mbali kwa ajili ya ununuzi wa PVC, Mafuta, usafiri na tahadhari za kutatua changamoto zinazojitokeza, na malipo yaliyo baki pale wanapo malizia kuchimba tu, na anaye hitaji pump atawajibika kulipa hela yote kwa mkupuo mmoja ili ikanunuliwe na kufungiwa.“Malipo yote yatakayo fanywa hakikisha umepata receipts na usifanye kwa mafundi au mtu yeyote ambaye hujaambiwa na ofisi haita husika. Kazi yako haitaanza kabisa mpaka ulipe 50% ya gharama na kama ukishindwa ndani ya masaa 3 mitambo itaweza kuondoka kwenda eneo lingine,

6)      Mteja anaweza kujinunulia vifaa ambavyo vinahitajika kwa ajili ya kisima chake kama PVC pipe, pump, bomba na vifaa vingine kama atataka vya utofauti au ubora wa hali ya juu na bei kubwa.

7)      Kisima kitakamilika ndani ya siku moja hadi 7 kufuatana na eneo na miamba.

8)      Kama mteja atakuwa na fedha pungufu ataweza ingia mkataba na PDPR na ardhi yenye kisima itatumika kama dhamana na hataruhusiwa kuuza au kukopea tena na akikiuka mari nyingine zinaweza shikiliwa kwa niaba ya kufidia deni, deni la ndani ya miezi 4 halina riba na baada ya miezi 4 utalipia 7% ya kiasi kwa mwezi. Na mkopaji hatakiwi awe na deni sehemu nyingine na asiwe aliwahi kufanya usumbufu sehemu nyingine, na Kisima chenye mita 120 na kuendelea ndicho chenye sifa za mkopo wa 20% na Mteja akishindwa kulipa PDPR inauwezo wa kuteua Dalali wa kusaidia kukusanya deni na kuuza dhamana.

9)      Mteja anaombwa kushirikiana au kuhakikisha ulinzi wa mitambo ikiwepo kazini kwake kwa kutoa ushauri wa kiusalama.

10)  Kila upande utahusika na makubaliano yaliyomo kwenye mkataba huu mpaka kila upande utakapo jitosheleza/pata haki yake.

11)  Kama survey hatujafanya sisi hatutahusika na kutokupatikana kwa maji na utatakiwa kulipa 70% ya gharama zote za uchimbaji kabla uchimbaji haujaanza (Kutokana na surveyor wengine kuwa na vifaa vya kizamani, wavivu, kuwa na ujuzi mdogo na kusahau point zenye maji), na kama tutakuwa tumefanya sisi tutapima upya na kuangalia uwepo wa maji na kuchimba upya na mteja ataombwa afidie kiasi cha mafuta lita 200 au laki 6 tu.

12)  Mdhamini wa Mteja 1: Jina …………………………..wa ………………………………..

NO: ya simu……………………………………. email: …………………………………

13)  Mimi /sisi………………………………………tumesoma na tumekubaliana namashariti na tupo tayari kuchukuliwa hatua kama tutakiuka au kushindwa kulipa sahihi……………………. Nimelipa………. Deni ……………Risiti …………………

Cheo ……………………..Tarehe ………………………..

14)  Mkataba huu umefanyika mahali……………………………..tarehe …………/…../2018

 

ZINGATIA:

a)      Malipo ya survey hulipwa mara moja na si kwa awamu la sivyo Survey Report zao zitakuwa Pending mpaka utakapo lipa.

b)      Hatuna dalali na dalali hahusiki na mwenye shamba ndio anatambulika kwetu,

c)      Hundi (Cheque) hatupokei ni malipo ya pay in slip direct kwenye account na cash tu,

d)     Visima vya chini ya mita 200 tunatumia mashine Ndogo za diesel zinazo bana matumizi ya mafuta na zaidi ya mita 200 tunamalizia na magari.

e)      Wateja wenye tabia zinazo ashilia usumbufu, tabia mbaya au asili ya utapeli watalipa 90% ya gharama za uchimbaji ndio kazi zao zianze. (Walioshindwa kulipa gharama za survey kwa wakati, kutoa taarifa za uongo, kuwa na madeni mengi nk)

f)       VIKUNDI, MAKAMPUNI na TAASISI Zimekuwa zikiongoza kwa usumbufu wa kutolipa kwa wakatia au kutolipa kabisa na kukosa mtu anaye wajibika moja kwa moja kwa hiyo Mtu mmoja tu atachukua wajibu wa kuwawakilisha wenzake na atawajibika yeye kama yeye na watatakiwa kulipa 70% ya gharama za uchimbaji kazi inapo anza tu.

 

 

PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR) updated its EGG INCUBATOR& mizinga page.

$
0
0

Asasi ya PDPR inauza na kukopesha vitotozi vya mayai ya kuku automatic na manual vya mafuta ya taa na umeme, mashine za kuchomelea, kufyatulia tofari, biogas plant (umeme wa choo) mizinga ya nyuki, vifaranga vya kuku na samaki na miche ya matunda. Pia tunatoa mafunzo ya ujasiriamali, biashara na masoko, uwekezaji na kilimo cha matunda mbali mbali pia ufugaji wa nyuki, kuku, nguruwe na samaki na kilimo cha viazi, mahindi, ndizi, nyanya, pilipili hoyo, nyanya chungu, mananasi, matikiti maji, tango, papia,  tunavitabu vinauzwa kwa TSH: 2000/=  kwa kitabu na TSH: 3000/= Softy copy na pia tunaendesha kambi za mafunzo kila mwezi wa watatu, sita, tisa na kumi na mbili na mafunzo kwa njia ya masafa kwa kila somo. kwa maelezo zaidi popote nchini 

Mashine hizi zina ufanisi wa zaidi ya asilimia 87 kama mashariti na vigezo vya utumiaji vitazingatiwa na mteja. PDPR inauzoefu wa miaka mitatu na imeshauza zaidi ya mashine 4710 ndani na njee ya nchini kama Zambia, Malawi na zina warranty ya miezi 6 hadi 9 na wateja wetu watapata huduma baada ya mauzo (after sale service) na kupwe mafunzo ya ujasiriamali na mradi husika bure na watatafutiwa masoko ya bidhaa zao.

Tupo wilaya ya Njombe, Kata ya Mtwango ila tunahudumia nchi Nzima Bidhaa yako itasafirishwa kwa busi au lori kokote nchini. 

BEI ZETU MPYA NI KAMA IFUATAVYO KUTOKANA NA GHARAMA ZA UZALISHAJI KUPANDA KUANZIA TAREHE 01/05/2015  Hasa kwa kupanda kwa Dollar

Bei ya mzinga ya ubao wa juu 45,000/= , Commercial 110,000/=

Kifaranga cha samaki mia tatu 300/=

Kifaranga cha kuku bloiler not pure 400/= , pure bloiler 1200/=, Chotara 1,100/= , mayai 1,500/=, kroiler 1500/=, Kenbro 1500 /=, Kanga 2000/=


Incubator za mafuta ya taa 30- 130,000 ,    50 - 200,000,   120 - 350,000

240- 450,000   300 - 550,000


Incubator ya umeme Semi automatic 60 - 250,000    120 - 350,000    240 - 450,000

300 - 550,000    500 - 750,000     1000 - 1,200,000,  1500 - 1,400,000,  2000 - 1,600,000 3000 - 2,600,000 4000 - 3,5000, 5000 - 4500,000 Egg turning have special handle, you turn eggs for 15 Seconds only. (Temperature is automatic, humidity is automatic for machines ranges between 500 up to 5000)

Full automatic (Tempreture, humidity and egg turning) mayai 48 -350,000  120 - 750,000     240 - 850,000   300 - 950,000  500 - 1,300,000 1000- 2,300,000  1500 - 3,200,000   2000- 4,000,000  

Mashine za kutengeneza mkaa wa taka taka ngumu zinauzwa Mnual TSH: 160,000/= gunia 2-3 kwa siku, Umeme kati HP 3 gunia 5- 8 kwa siku TSH: 800,000/= Kubwa HP: 7 gunia 15 - 40 kwa siku 3,000,000/=  utapewa mafunzo na vitabu vya kutumia na mkaa wako wa ziada tutanunua sisi kwa bei nzuri.

Pia tunahitaji mawakala wa kututafuti masoko na wakala watapewa punzo ya asilimia 7% wanaponunua bidhaa zetu na gharama ya kujisajili ni TSH: 15,000/= na watapewa vitabu na mafunzo maalumu ya kuwawezesha kufanya kazi kwa ufanisi na wakala atuutumie email address yake kwenye pdprngo@gmail.com pamoja na majina yake matatu na mkoa anaopatikana au apige 0754397178, 0652556833 kwa maelezo zaidi

PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR) updated its MIKOPO YA MASHINE page.

$
0
0

MIKOPO YA MASHINE NA ZANA ZA KILIMO BILA DHAMANA

Asasi ya Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR) inaunda mashine mbali mbali zenye bei tofauti na kuziuza kwa Fedha Tasilimu (cash) au kwa mkopo kwa kulipa asilimia kati ya 50 hadi 80 na kiasi kilicho baki kukilipa ndani ya miezi 4 hadi 6, Muda wa uundaji wa mashine ni kati ya siku 3 hadi wiki 2 kutegemeana na aina ya mashine, Mashine ndio zitatumika kama dhamana na pia mkopaji atatakiwa kuwa na wadhamini wawili ambao watawajibika kulipa ambapo mkopaji anaposhindwa kulipa, Tunashauri Mteja afike offisini kwetu kwa mazungumzo zaidi au kwa mawakala ambao watakuwa wakitambulika na offisi. tembelea www.envaya.org/pdpr Na zifuatazo ni bei elekezi za mashine na aina zake.

1)      Mashine za kusaga na kukoboa nafaka mbali mbali. (Milioni 2.4, 2.7, 3.1M)

2)      Kubangua mise, (Milioni 1.4 hadi 2.5)

3)      Kukoboa kahawa na kusaga ya umeme au mafuta ,(Laki 4.5 manual,1.3m,  1.8M)

4)      Kutotoa vifaranga vya kuku automatic na semi automatic kuanzia mayai 60 hadi 6000

5)      Kuchanganya chakula cha kuku cha mash na pellet (Milioni 2.5m, 3.8, 4.9m, hadi 8m)

6)      Kukamua na kusafisha mafuta ya nafaka kama alizeti, karanga nk, (Milioni 5, 7, 9 hadi 20)

7)      Mashine ya kupukuchua mahindi (Laki 9, 1.2m, 1.8 hadi Milioni 3)

8)      Mashine ya kutengeneza sabuni za miche, maji na unga,( Milioni 1.5, 2.8M,4m,7M hadi 15)

9)      Mashine za kukaushia mboga na matunda mbali mbali (drier) (Laki 6 hadi milioni 7)

10)   Mashine ya mkaa wa taka taka ngumu za umeme na mafuta ya taa (Mkaa wa kisasa) (Laki 5 manual, 1.8m, 2.7M, 3.5m hadi Milioni 6)

11)   Mashine za tofari za cement, hydro form, (Laki 3.5 hadi milioni 4),

12)   Mashine ya kukamulia juice za matunda mbali mbali, (Milioni 1.4 hadi 3)

13)   Mizinga ya nyuki ya ubao wa juu na commercial, (Elfu 45,000 na 110,000)

14)   Mashine ya kupasua mbao, (Milioni 2.5 hadi 4m )

15)   Mashine ya kuranda mbao za size tofauti ( Milioni 1.7 hadi 3.5m)

16)   Mashine ya kusaga karanga (penut butter) (Laki 8 hadi 2.7m)

17)   Mashine ya kuchomelea vyuma, (Laki 3 hadi laki 6)

18)   Mashine ya kucharge betri za gari, (Laki 3 hadi laki 5)

19)   Ujenzi wa green house ( kwa kila mita ya mraba 23000 ikiwa imekamilika kila kitu.)

20)   Ujenzi wa mabwawa ya samaki ya pond line yanayo hamishika ( kuanzia laki 2.5),

21)   Mashine za kuoaka mikate (Mixer na oven), (Laki 4 hadi milioni 8),

22) Mashine ya kukoboa mpunga (Milioni 1.6 hadi milioni 4)

23) Mashine ya juice ya miwa (Mnual laki 3, umeme 1.2m),

24) Mashine ya kusaga na kukausha mihogo (1.2M hadi 10m),

25) Mashine ya chaki (Laki 4.5 hadi 6 Milioni pamoja na drier),

27) Kukatia nyasi za Ng'ombe (Chaff cutter) laki 9 hadi 3m),

28) Mishumaa (Milioni 1.5 hadi 3m),

29) Kupukuchua mahindi (1.2m hadi 3m),

 

Pia tunachimba visima vya maji eneo lolote kwa kila mita 45000,  na pia tunauza miti ya mbao na mashamba ya kupanda.

 

 Tupo Dar, Mbezi mwisho 

 

 

PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR) updated its History page.

$
0
0

 

Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR) - is a local (Non-governmental Organization and non-profit making). Situated in Njombe district but operate in whole national (Zanzibar and Tanzania mainland), PDPR base in rural areas of Tanzania, target to serve women, children, youth and marginalized group who are small scale farmers and small business man in Rural areas.

       The organization runs its activities through the generous support and participation of individuals and interested global entities partners.

PDPR-works in partnership with rural communities on a wide range of development issues as herby listed agriculture, environmental conservation, capacity building, health, enterpreurship development, human rights, education, and mainstream cross-cutting issues in projects (HIV/AIDS, gender, drug abuse and globalizations).


PDPR - works under umbrella of (Njombe District Non- governmenatal Organization) NJODINGO, and her partners are ADPR, Kichiwa Farm, ARUPA, MabomaCompany, Upendo foundation. PDPR-have experience of working and Farmers and rural communities also has special team for rural activities and agricultural projects. The targeted populations by PDPR are youth, women, children, elders who are small scale farmers as small business man found in rural areas.   


            Activities implemented by PDPR since the establishment are Children rights and responsibility of societies in Mtwango ward, Essay writing competition to secondary school students on HIV/AIDS, Globalization, Environmental and climate change in Njombe region, Entrepreneurship skills, marketing skills and business skills training services to youth and secondary school students in Njombe and Dar es sallam for the past 15 months.

Viewing all 4212 articles
Browse latest View live