Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all 4212 articles
Browse latest View live

HOPE RELIEF AND ORPHANS VILLAGE added a News update.

$
0
0

WATOTO WANAHITAJI  NINI  KUTOKA KWA WALEZI NA VIONGOZI

Kutoka kwenye Familia:

kulishwa,usafi,kuvalishwa,kuwekwa salama na kuwa katika hali njema.lishe bora pamoja na  mlo kamili na kunyonya maziwa ya mama hadi  kufikia  miaka miwili ni muhimu kwa ajili ya kukua kwa mwili na ubongo. kuhakikisha usalama wa mtoto  kimwili kwa kumuweka kwenye mazingira salama ya kuishi, yenye ulinzi dhidi ya ajali na unyanyasaji,pamoja upatikanaji wa huduma za Afya.mapenzi na kuwa karibu  na mlezi mwenye upendo.sisi kama shilika tunahakikisha kwamba kila mtoto anapata haki za musingi kwa kuhamasisha kwa jamii kuwapeleka shule na kuwalida.pia tutahakikisha kuwa kila walezi,wazazi, wanatambua haki za mtoto wanazifahu. mwisho tunakalibisha mashilika mbalimbali yanayotetea haki za mtoto kutushika mikono katika hii huduma pia kwa watu wnaojitoa kusaidia wahitaji tunawakalibisha.Asanteni


HOPE RELIEF AND ORPHANS VILLAGE updated its Projects page.

$
0
0

CURRENT PROJECTS ARE;

1. Support to old men/women

2. Support to orphans and most vulnerable.

3. Sensitizing communities on entrepreneurship through knowledge and skills.

4. To educate communities on Gender issue.

5. To support to HIV/AIDS victims (orphans, vulnerable children due to HIV/AIDS  

     and widows.

 6. Empowerment women of Reproductive Age and Adolescent Girls.

 

ORGANIZATION CAPACITIES:

At the moment THE HOPE RELIEF AND ORPHANS VILLAGE CHILDREN. Has 4 staff with education level ranging from the Certificate of Secondary Education, Diplomas and Degrees in which 2 are women and 2 are men who are working in the office and in the field, the head of the organization is the General secretary who is in charge of day to day activities and is followed by the Administration officer who takes care of staff welfares and Disciplinary actions. The organization has office space, Bank account, and man Power and communication facilities including computer connected to the international net work.

HOPE RELIEF AND ORPHANS VILLAGE updated its Volunteer page.

$
0
0

WELCOME TO THE HOPE RELIEF AND ORPHANS VILLAGE CHILDREN IN TANZANIA.

volunteers are invited  to support  the orphans children  at our organizanition  and women projects for poverty alleviation  no spoecial skills required for the  work our organization.

 we work  five  days a week  such as teaching, cooking garden work, home visits, shopping and other  community work.

 we thanks  our voulnteer spent their time  with us this year such as    Eve thomson (u.s.a).

for any enguiiry  please contacts  MR. shija kinyata clement through the contacts shown on the we page.

HOPE RELIEF AND ORPHANS VILLAGE has a new discussion about FURSA FINYU KWA WAZAZI KUJIHUSISHA NA SHULE. .

$
0
0
HOPE RELIEF AND ORPHANS VILLAGE:

Pamoja  na elimu ya mtoto huleta utata juu ya kuwekeza katika elimu ya mtoto pamoja na kuwezesha mchakato wao wa kujifuz.?

Counselling and Family Life Organization (CAFLO) updated its Home page.

$
0
0

CAFLO is a catalyst for development and together we can make a difference.

About Us:

Counselling And Family Life Organization (CAFLO) empowers families and individuals to develop their communities at the grass roots level.  We envision a vibrant society of people living peacefully, healthily and with a better quality of life through socio-economic development and respecting human rights. CAFLO promotes this in families and communities by empowering people to overcome challenges facing them such as disease, poverty/unemployment, malnourishment, physical and mental handicaps, gender inequalities, domestic violence, child abuse, drug/alcohol abuse, sexual abuse and illegal trafficking.  We accomplish this through community education, counselling, campaigning for human rights and fostering economic wellbeing through capacity skills education for self-reliability resulting in improved quality of life and sustainable community changes.

CAFLO's office is based in the City of Dar es Salaam with branches throughout the Tanzanian mainland.

Target Populations:

CAFLO's services are available to all family members with a strong focus on:

  • Children (Orphans and Vulnerable Children [OVC]) and Youth
  • The disabled
  • People affected by HIV/AIDS, TB and Malaria 
  • Women (especially Widows)
  • Commercial Sex Workers
  • Substance abusers

Community Services / Programs:

  • Counselling
  • Education (Health, Substance Abuse, Family Planning, Sexual)
  • Empowerment and Advocacy 
  • Capacity Building (Entrepreneurship Skills, Income Generating Activities [IGAs] and Micro-finance)
  • Research

 

Contact Information:
caflotanzania@yahoo.com
+255 754 833145, +255 717977370, +255 787889981,
PO Box 79039,
Dar es Salaam, Tanzania.

 

CAFLO is a Catalyst For Family Development.

CAFLO`s Head Office, Dar Es Salaam region.

The african hope community organization updated its Team page.

FRUITFUL ORPHANAGE AND DAY CARE updated its Projects page.

$
0
0

We are in need of having some project those may help us running the Orphanage while we have no volunteers or donors.We hope soon as we may have the project it will be easy for us to get our kids basic needs and also will help us get the contribution/salaries to our staff.We may thanks to have the projects like cows, chickens, chairs, tailoring project, computer class with all equipments, vegetable project etc.So we would like to have a big contribution from all sponsors and donors having enough land to establish all the projects.We are in need also of sponsored because of Fruitful development because we have the children here they use to go to school but we are expecting to be with them even if they will be in school.The projects will help us to get different training which will help our children to help on themselves because they may reach the time they will be in need of other thing we can't provide to them.Our aim is to help them to study and if possible we provide them the training incase of the lack of employment they may be able to employ themselves.For the absence and increase of youths in the street we would like to establish our sport team so that through that the number of youth in the street will decrease.We may be in need of printed t-shirts which we can sell to our visitors, donors and sponsors for also our Orphanage development.

You are welcome to support our children and the Orphanage center also for future perfomance.

No matter how big or small, your donation can make a difference. Fruitful will ensure that everything will go to the orphans that are in our center.

Fruitful Orphan sponsorship project

Through poverty, natural disasters and wars children are being orphaned. Their love and hope is taken away with no-one they can turn to. You can make a difference to these children by becoming their sponsor. Your donations can help us reach out to orphaned children and provide them with food and a safe place to rest at night.

 The God Almighty said:
“I and the person who looks after and help an orphan will touch my heart so I will opend all sides to bring our wealthy . Then he raised his forefinger and middle finger together to bless us.
 

 

FRUITFUL ORPHANAGE AND DAY CARE added 9 News updates.

$
0
0

large.jpg

Fabian with his clients together with our children.He visited us and support paying the rent too.


SONGAMBELE CHARITABLE TRUST added 2 News updates.

$
0
0

The International Day of Persons with Disabilities (IDPD) has been commemorated since 1992 to promote awareness and mobilize support for critical issues relating to the inclusion of persons with disabilities in society and development. The Day works to promote action to raise awareness about disability issues and draw attention to the benefits of an inclusive and accessible society for all. Governments, UN agencies, civil society organizations, academic institutions and the private sector were encouraged to partner with organizations of persons with disabilities to attend the events and activities to commemorate the Day.

MANLUKU Entertainment updated its Home page.

$
0
0

ABOUT MANLUKU ENTERTAINMENT

MANLUKU ENTERTAINMENT is a youth lead and registered Community Based Organization (CBO) aiming at providing opportunities that empowers young people to create positive change through Sports, Education, Sexual health and Agricultural practice in KIGOMA region. It started as a company before observing a great need of socio-economic empowerment to many youth in Kigoma region.

The Organization's director Mr. Liberatus Lukurazo is a graduate from the Institute of Finance Management (IFM), who has been working with “Better Dayz Entertainment and has successful prepared the Miss IFM since 2010 to 2013.

He has also prepared IFM Fresher’s BASH and a number of “back to college” Bashes when he was a leader at the Institute of Finance Management Students Organization (IFM-SO).

MANLUKU is currently working with both Kasulu and Buhigwe districts (Kigoma region - Tanzania), in youth's matters related to sports, health, education and agriculture.

OUR VISION

To see youth self relicensed and independent by having their own income generating sources, equitable with improved economic and social welfare.

OUR MISSION

To provide opportunities that empowers young people to create positive change through Sports, Educations, Sexual health and Agricultural practice.

 CORE VALUES

Respects, integrity, good governance and transparency

 

MANLUKU Entertainment added a News update.

$
0
0

MANLUKU will be doinng a project on COMBATING HIV/AIDS THROUGH SPORTS” IN NYARUGUSU REFUGEE CAMPS early April 2016, see and read more on the project page.


                              

KARAGWE RURAL DEVELOPMENT AND ENVIRONMENTAL CONSERVATION AGENCY(KARUDECA) updated its Our Referees page.

$
0
0


Judy Martin-Director -WABIA NETWORK (UK based organization)-Current partner
www.wabia.net/partners/karudeca


Janet Chapman-Communication officer-Tanzania Development Trust
(TDT)-UK based organization -Partner    Email: j.chapman@tanzdevtrust.org

Verena Guggenberger-Senn-Organisation Development Advisor-Regional Office East Africa-HORIZONT 3000-Email:verena.guggenberger-senn@horizont3000.org

KARAGWE RURAL DEVELOPMENT AND ENVIRONMENTAL CONSERVATION AGENCY(KARUDECA) updated its Proposed Projects page.

$
0
0

 

KARAGWE RURAL DEVELOPMENT AND ENVIRONMENT CONSERVRATION AGENCY (KARUDECA)

Proposed Projects  2016-2020

Introduction

KARUDECA was registered in December 2007 to operate in Karagwe district of the united republic of Tanzania.

Our core works include bettering the following sector education, health, environmental conservation and women empowerment.

Our vision

KARUDECA aspires to promote better living standards to the Karagwe district rural residents and enable them meet the needs of globalization and free market economy.

Our mission

Promoting social and economic development among Karagwe district residents

Motto

Striving   for Karagwe sustainable development

  ORGANIZATION VALUES

Value   Statements

KARUDECA is committed in developing excellent and professional operational systems and transforming itself into an excellent organization that contributes in achieving the challenging goals in economic and social development targets of its members. The following respected values and guiding principles characterize the work and life of KARUDECA and are embedded in all those who come to be associated with KARUDECA.

In fulfilling the Vision and Mission of KARUDECA the following Core Values would be adhered to:

q  Cooperation

q  Transparency

q  Integrity

q  Commitment

q  Efficiency

q  Competitiveness

q  Professionalism

q  Teamwork

q  Volunteerism

 

ORGANISATION STRUCTURE

                 

       GENERAL ASSEMBLY

 

 

 

                   BOARD

 

 

 

       EXECUTIVE DIRECTOR

 

 

 

     HEADS OF DEPARTMENT

 

 

 

                WORKERS

       

 

OUR PLANS FOR 2016-2020

A. Developing the Projects in Progress: Where we are

1.  Micro credit scheme.

We plan to develop our women micro credit scheme to more villages and wards of the Karagwe district. We are now running this project in Kayanga and Bugene wards. We plan to add more five wards in the five years. The project is funded by Wabia Network, a UK based organization.

2 .Community   Based Rehabilitation (CBR)

We are currently running a CBR project in partnership with KCBRP and KESUDE. The project is funded by Liliane Foundation-The Netherlands.

 

3. Club feet clinic Project.

In partnership with KADEF, KESUDE, KCBRP and NYAKAHANGA DDH, KARUDECA is running club feet clinic at Nyakahanga DDH. We rehabilitate children with club feet by using the Posent method, rehabilitation without surgery. The project is funded by Miracle Feet-USA

4. Microfinance Project/Hisa Project

KARUDECA is running a group of women and men who have decided to join together to boost themselves economically. They assist each other economically using the little resources that they have.

We would be grateful for anyone who willing to support these efforts.

 Proposed project: Where we want to go 2016-2020

1. Environmental Conservation

We intend to launch a bee keeping project with our member as a means of environmental conservation and, economic empowerment and employment creation.

2. Health

We plant to provide capacity building to medical officers in public and private health centers to improve their working skills.

We also plan to run a cost sharing rain water harvesting tank construction project for the needy families in Karagwe.

3. Education

We plan to build ten girls dormitories in ten government ward secondary school to rescue young girls from early pregnancy and early marriage.

We plan to begin a computer class to teach ICT to the youths in Karagwe, as a means to development.

We also plan to provide capacity building to our staff for efficiency. We intend to partner with MS-TSDC for this task because the center has a long time experience in providing capacity building.

We also plan to provide education support to the needy children in Karagwe.

We also plan to construct an awareness creation hall for meeting and capacity building our beneficiaries.

We last intend to launch a KARUDECA COMMUNITY RADIO PROJECT. This radio will help in information and knowledge transfer to the rural parts of the Kagera region, Karagwe district in particular. As we all know that information is power, the radio station, will transform lives of the residents of Karagwe.

4. Agriculture

We plan to run an agribusiness project to enable farmers in Karagwe practice commercial agriculture. We want to enable the people of Karagwe have a commercial agriculture and not for consumption as the situation is now.

We also plan to attract strategic investors to Karagwe,so that they can build industries and other projects which will provide employment and market to our agricultural products.

We plan to launch cattle revolving project and training to the beneficiaries on environmentally friendly animal husbandry.

We also plan to expand an agricultural lending system in Karagwe Tanzania.

 

5. Women empowerment

We plan to launch a women legal aid center to help the marginalized women out of intimidation, oppression and humiliation.

We plan to launch reproductive health campaign to female students in secondary schools in Karagwe so as to fight early pregnancy and truancy as means to women empowerment.

 

C.PARTNERSHIP

We will strengthen the existing partnership while building new ones. At KARUDECA,we believe, development is a collective endeavor.

We will insist and persuade our fellow local NGO to join networks / consortiums hence learn from each for efficiency.

D.CONCLUSION

Dear friends, well-wishers and partners,

Many thanks for joining hands with us.

We hope you will take time to read our future plans and do expect your continued cooperation.

You have been with us; we hope you won’t leave us on the way. We will still move together, as we still have a very long way to go.

 

Counselling and Family Life Organization (CAFLO) added a News update.

$
0
0

large.jpg

CAFLO ARUSHA BRANCH OFFICE Located at Njiro-Tanesco Lemara Ward

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT added 2 News updates.

$
0
0

large.jpg

Walemavu nao walishirishwa wakati wa utekelezaji wa mradi wa sheria Na. 5 ya ardhi


PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR) updated its Home page.

$
0
0

Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR) - is a local (Non-governmental Organization and non-profit making). Situated in Njombe district but operate in whole national (Zanzibar and Tanzania mainland), PDPR base in rural areas of Tanzania, target to serve women, children, youth and marginalized group who are small scale farmers and small business man in Rural areas.
Its registration No is 000NGO/006208. The organization runs its activities through the generous support and participation of individuals and interested global entities partners.
PDPR-works in partnership with rural communities on a wide range of development issues as herby listed agriculture, environmental conservation, capacity building, health, enterpreurship development, human rights, education, and mainstream cross-cutting issues in projects (HIV/AIDS, gender, drug abuse and globalizations).

Mission statement.

To provide aid on various legal matters based on human rights, support the total encouragement based on environmental conservation campaign, facilitate the pomotion of social, economic, and cultural development leading to empower the society with competent technical packages eligible to fight agaist poverty and ignorance at large and let them fight their artificial but also natural resourses available in nurturing their lives. 

 

HUDUMA ZETU:

UFUGAJI WA KUKU:

 Asasi ya PDPR inauza na kukopesha vitotozi vya mayai ya kuku full automatic na semi automatic vya mafuta ya taa, umeme na solar, biogas plant (umeme wa choo), mizinga ya nyuki, vifaranga vya kuku na samaki na miche ya matunda. Pia tunatoa mafunzo ya ujasiriamali, biashara na masoko, uwekezaji na kilimo cha matunda mbali mbali pia ufugaji wa nyuki, kuku, nguruwe na samaki na kilimo cha viazi, mahindi, ndizi, nyanya, pilipili hoyo, nyanya chungu, mananasi, matikiti maji, tango, papia,  tunavitabu vinauzwa kwa TSH: 2000/=  kwa kitabu na TSH: 3000/= Softy copy na pia tunaendesha kambi za mafunzo kila mwezi wa watatu, sita, tisa na kumi na mbili na mafunzo kwa njia ya masafa kwa kila somo. kwa maelezo zaidi popote nchini piga  0754397178 au 0652556833 au tuma email pdprngo@gmail.com.

Mashine hizi zina ufanisi wa zaidi ya asilimia 87 kama mashariti na vigezo vya utumiaji vitazingatiwa na mteja. PDPR inauzoefu wa miaka mitatu na imeshauza zaidi ya mashine 4710 ndani na njee ya nchini kama Zambia, Malawi na zina warranty ya miezi 6 hadi 9 na wateja wetu watapata huduma baada ya mauzo (after sale service) na kupwe mafunzo ya ujasiriamali na mradi husika bure na watatafutiwa masoko ya bidhaa zao.

Tupo wilaya ya Njombe, Kata ya Mtwango ila tunahudumia nchi Nzima Bidhaa yako itasafirishwa kwa busi au lori kokote nchini. 

BEI ZETU MPYA NI KAMA IFUATAVYO KUTOKANA NA GHARAMA ZA UZALISHAJI KUPANDA KUANZIA TAREHE 01/05/2015  Hasa kwa kupanda kwa Dollar

Bei ya mzinga ya ubao wa juu 45,000/= , Commercial 110,000/=

Kifaranga cha samaki mia tatu 300/=


Kifaranga cha kuku bloiler not pure 400/= , pure bloiler 1200/=, Chotara 1,100/= , mayai 1,500/=, Kroiler 1500/=, Kenbro 1500/=, Kanga 2000/=


Incubator za mafuta ya taa 30- 130,000 ,    50 - 200,000,   120 - 350,000

240- 450,000   300 - 550,000


Incubator ya umeme manual mayai 30 - 150,000,  60 - 250,000,  120 - 380,000

240 - 400,000 300 - 450,000.


Incubator ya umeme Semi automatic 60 - 300,000    120 - 400,000    240 - 500,000

300 - 600,000    500 - 750,000     1000 - 1,200,000,  1500 - 1,400,000,  2000 - 1,800,000 3000 - 2,600,000 4000 - 3,5000,00 5000 - 4500,000 Egg turning have special handle, you turn eggs for 15 Seconds only. (Temperature is automatic, humidity is automatic for machines ranges between 500 up to 5000)


Full automatic (Tempreture, humidity and egg turning) mayai 48 -350,000  120 - 600,000     240 - 850,000   300 - 950,000  500 - 1,300,000 1000- 2,200,000  1500 - 3,100,000   2000- 4,000,000, 3000- 4,700,000, 4000 - 5,600,000/= , 5000- 6,500,000/=


Tunatoa Mikopo ya Vifaranga vya Kuku chotara, Kienyeji, Mayai na vya kanga na mkopaji atalazimika kulipia 60% ya bei ya kifaranga na atapewa ndani ya siku 4  na vifaranga wakimaliza wiki nne mkopaji ataweza kukopa chakula cha kuku mfuko mmoja utakopeshwa kwa TSH: 29,000/= na mkopo utalipwa ndani ya miezi 9  na mkoppo hauna  riba.  "Mjulishe na Mwenzio" Vifaranga vyeti vina vina ubora na vistahimilivyu vya magonjwa na pia vinauzwa kwa bei elekezi hapo juu.


MKATABA WA MKOPO WA VIFARANGA NA CHAKULA

 

Makubaliano haya yamefanywa   KATI YA

 

Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR), www.envaya.org/pdpr

 

S.L.P 430, Njombe, simu: 0754397178, 0652556833                           …./…./201..

 

                                                                                NA

 

Jina: ……………………………………………………… Mahari …………………………… Simu ……………………………

 

……………………………………………………………………………………………………………

 

1)      Mkopo wa Vifaranga ……………………………..…Aina …………………………

 

2)      Mteja atawajibika kutoa oda ya walau wiki 1 na kufanya malipo ya awali 10 % ya bei kufuatana na makubaliano watakayo fikia ili aweze kuandaliwa vifaranga vyake na kumalizia 50% siku ya kupokea vifaranga na 40% itabaki kama mkopo utakao lipwa ndani ya miezi 9.

 

3)      PDPR itawajibika kukupa vifaranga ndani ya siku…4…. baada ya kupokea oda na malipo ya awali.

 

4)      Mteja atapewa huduma baada ya mauzo (after sale se rvices) ya mafunzo, ushauri, vitabu, masoko, naataweza kukopa chakula cha kuku baada ya vifaranga kufikia siku 28.

 

5)      Mteja atawajibika kulipa gharama za kusafirisha vifaranga vyake au chakula, mwamara, na gharama zingine zitakazo hitajika.

 

6)      Mkulima anaweza kukopa kuanzia vifaranga 100 hadi 600 na kama yupo eneo la Njombe ataruhusiwa hata vifaranga 50.

 

7)      Fedha/gharama hazitarejeshwa baada ya kulipwa tu kwa sababu zinazoeleweka.

 

8)      Mkataba huu umefanyika mahali……………………………….…..tarehe …………/…../201….

 

9)      Mteja kama amekopa atawajibika kulipa deni ndani ya miezi.. 9.na akishindwa kulipa ndani ya miezi 10. Bidhaa/dhamana itashikiriwa na PDPR, na atalipia riba ya 10% kwa mwezi

 

10)   Mauzo ya bidhaa yataambatana pamoja na mafunzo ya mradi, vitabu viwili na ushauri wa mwaka mmoja pamoja na uandaaji wa chakula cha kuku, ujenzi wa banda bora na magonjwa.

 

11)   Kila upande utahusika na makubaliano yaliyomo kwenye mkataba huu mpaka kila upande utakapo jitosheleza/pata haki yake na mfugaji hutaruhusiwa kuuza kuku mpaka umalize deni.

 

12)   PDPR haitahusika na vifo vya vifaranga kutokana na uzembe, wizi, au kitu kingine chochote

 

13)   Mdhamini wa mkopaji 1: Jina …………………………..wa …………………….. NO ya simu………………………email:…………………………………………..

 

14)   Mdhamini wa mkpaji 2: Jina …………………………..wa …………………….. NO ya simu………………………email:…………………………………………..

 

 

 

15)   Offisi ya Serikali ya Kijiji/ Mtaa ……………………………………………………………………. Apewe/asipewe …………Sahihi ……………….. Jina………………….…..……………….cheo………………….. Mhuri ………………….

 

 

 

16)   Mimi /sisi………………………………………tumesoma na tumekubaliana namashariti na tupo tayari kuchukuliwa hatua kama tutakiuka au kushindwa kulipa deni, sahihi……………………. Nimelipa ……………………. Deni …………………Risiti ………………… Cheo ……………………. .Tarehe ………………………..

 

 

 

ZINGATIA: Mteja na mdhamini waambatanishe nakala za vitambulisho vya mpiga kura au leseni ya biashara au kitambulisho cha kazi na picha ndogo za mkopaji na mdhamini

 

KWA MATUMIZI YA OFISI TU:

 

Imepokelewa na ……………………………….. kwa niaba ya PDPR sahihi……. ..

 

Cheo ……………………. Tarehe …………………….

 

Maelezo ……………………………………………………………………………….. ………………………………………………………………………………………….………………………………………………………………………………………….…………………………………………………………………………………………..

 

TAARIFA ZA WAKALA KAMA AMEHUSIKA:

 

Jina ……………………………….…No: ya simu ……………………………………. Mkazi wa …………………………………. Email ……………………………………No: ya wakala ………………………………

 

Sahihi ………………………Tarehe..………… kiasi alicholipa………………………

 

NB: Malipo yote yatumwe makao makuu NO: 0754397178, 0652556833 na unaweza nunua cash vifaranga au chakula kwa bei elekezi.

 

  • Kifaranga cha kuku kijogoo 400/=, pure boiler 1200/=,Kienyeji 1200/= Chotara 1300/= , mayai wa Malawi 1500/=, kroiler 1500/=
  • Mfuko wa chakula Kanda ya kusini TSH: 29,000/=, Kati 31,000/= Pwani na Dar es salaam TSH: 32,000/= Kaskazini TSH: 35,000/= na mkopaji atawajibika kulipia asilimia 60% ya mfuko wa chakula na 40% itakuwa deni (Bei ni pamoja na usafiri).

 

Jina la mkopji ……………………………Sahihi …………….   Afisa wa PDPR ……………………………Sahihi .…………..

 

Tarehe: …………………………………….                                 Tarehe: ………………………………..



PANDA MITI YA MBAO KIBIASHARA UFAIDIKE:

Kilimo cha miti kimepata umaarufu wa ghafla miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ongezeko la mahitaji ya mazao ya miti na changamoto ya mazingira. Katika Tanzania mikoa ya Njombe na Iringa ni moja ya mikoa maarufu inayoongoza kwa misitu mikubwa ya kupandwa.

 

Miti inatumika kwa mbao, nguzo za umeme, nguzo za kujengea pamoja na utengenezeaji wa karatasi. Ukiacha mahitaji haya tuliyoyazoea; hivi sasa kumeibuka fursa nyingine mpya ambapo mashirika ya kimazingira kutoka Magharibi yananunua hewa ukaa (carbon dioxide). Kwa maana hiyo unaweza kupanda shamba la miti halafu ukawa unakusanya dola kwa kuuza hewa ukaa wakati ukisubiri miti ikomae uvune mbao, nguzo ama miti ghafi ya kutengenezea karatasi.

 

Hii ni sawa na kutegeneza hela ukiwa umelala. Mbali na kuuza hewa ukaa, vile vile unaweza kufuga nyuki na kuendelea kuvuna asali wakati unasubiri kukusanya mamilioni kwa kuuza miti ya nguzo, karatasi ama mbao.Kilimo hiki cha miti ni uwekezaji wa muda wa kati na mrefu (middle& long term investments). Kiutamaduni watanzania wengi huwa hawavutiwi na uwekezaji wa muda mrefu.

Hata hivyo kama una mpango wa kuwa na “financial freedom” usikwepe kufikiria uwekezaji wa muda mrefu. Waingereza husema “Information is power”. Wengi hawajachangamkia fursa hii kwa kukosa taarifa tu. Kazi kitabu hiki ni kukupa taarifa hizi za utajirisho. Miti ya mbao inatumia wastani wa miaka sita hadi 8, tangu kupandwa hadi kuvunwa kwake.

 

Hii ina maana inapofikisha umri wa miaka sita huwa tayari kwa kuanza kuvunwa kwa mbao ndogo. Ekari moja ya shamba inachukua wastani wa miti mia sita (600). Wastani wa chini wa mti mmoja kwa sasa uliokomaa ni shilingi elfu ishirini (30,000 hadi 60,000, inategemea na ukubwa wa mti). Ina maana katika ekari moja ukiwa na miti iliyokomaa unakusanya jumla ya shilingi milioni kumi na nane (18,000,000). 

 

Fedha hiyo (kadirio la chini kabisa) utaipata ikiwa unaamua kuuza kwa bei ya jumla miti ikiwa shambani. Lakini kama ukiamua kupasua mbao wewe mwenyewe unaweza kuvuna mbao hadi za milioni thelathini na mbili (32,000,000) kwa ekari moja. Hadi sasa uhitaji (demand) wa mbao katika soko ni mkubwa kuliko ugavi (supply) hivyo kwa miaka 10 ijayo hatutarajii kushuka kwa soko la mbao, nguzo ama malighafi za karatasi. 
 
Gharama ya kununua shamba tupu ni kati ya shilingi  elfu Themanini na laki moja na 20 elfu (120,000) kutegemea na maeneo husika unayotaka ama kupata. Gharama za kuandaa shamba, kununua miche na kupanda ni kati ya shilingi laki moja  na nusu,na laki moja. Hii ina maana unaweza kumiliki ekari moja ya msitu wa miti kwa hadi shilingi laki nne tu! Kutegemea na umri wa miti unayotaka. 
 
Mtu unaweza kuona kuwa pengine kununua shamba tupu na kuanza kuhangaika na upandaji miti itakuwa ni mlolongo mkubwa; kukusaidia katika hilo Asasi ya PDPR imekuwa na utaratibu wa kumilikisha mashamba yenye miti (kuuza) kwa bei nafuu sana. Yapo mashamba yenye miti ya kuanzia mwaka mmoja, miaka miwili, miaka mitatu na miaka minne.

 

Uponunua mashamba haya kutoka kwetu, PDPR inaendelea na upandaji wa mashamba mapya kupitia fedha hizo. Kilimo cha miti ni rahisi sana kwa sababu ukishapanda hakihitaji uangalizi mkubwa sana na wala hauhitajiki uwe karibu na shamba/mradi muda wote. Kuna kazi chache ambazo zinahitajika ukishapanda shamba lako.

 

Mvua inyeshe ama isinyeshe mti wa mbao, nguzo ama karatasi ukishachipua huwa haufi kwani huendelea kutumia unyevu wa ardhini. Kazi namba moja unapokuwa umeshakamilisha upandaji wa miti kwenye shamba; ni kutengeneza njia za kuzuia moto walau mara moja kwa mwaka, kazi ya pili ni kufyekea miti inapokua walau kwa mwaka mara moja (prooning).

 

Gharama zote hizo yaani kutengeneza njia za moto, kufyekea na kulinda moto haizidi laki mbili kwa mwaka mzima. Kwa maana hii gharama za kuhudumia shamba la miti ekari moja kutoka kupandwa hadi kuvunwa ni wastani wa shilingi laki tano. Gharama hizi ninazopiga ni ikiwa utaamua kununua shamba leo na kama ungekuwa tayari una shamba ambalo unalihudumia leo. 
 
Hata hivyo nadhani wote tunafahamu kuwa ardhi ni rasilimali inayopanda thamani kila siku. Vile vile tunatambua kuwa suala la mazingira ni tete kwa sasa na katika karne zijazo kama wataalamu wanavyotuthibitishia. Hii ina maana kuwa ukiwa na shamba la miti leo; thamani ya ardhi hiyo inazidi kupanda kila siku na miti uliyopanda inazidi kupanda thamani kila kukicha. 
 

Jambo la uhakika ni kuwa hata kama bei ya miti, mbao, nguzo itayumba hutaweza kupoteza mtaji uliotumia na wala hutakosa kuzalisha faida kwa shamba utakalokuwa umemiliki, iwe ni eka moja, kumi, mia ama elfu moja. Mbali na hivyo unaweza ukaona, ahaa, miaka sita hadi kumi ni mingi mno; bado una nafasi ya kupata faida hata ndani ya mwaka mmoja, miwili au mitatu.

 

Ukishapanda shamba la miti ekari moja kisha baada ya mwaka mmoja ukaamua uuze utauza si chini ya milioni mbili hadi nne. Kukusanya milioni nne kwa mtaji wa laki sita, pasipo kutumia muda mwingi ama usumbufu wa kusimamia; hakika ni faida nono. 
 
Huenda hadi kufika hapa unaweza ukawa umeshavutiwa na biashara hii. Wengi wenu mnaweza kujiuliza maswali mkubwa mawili; “Ninatamani nifanye mradi huu lakini Njombe au Iringa sikufahamu na hata kama nakufahamu nitaanzia wapi kupata hayo maeneo?” Pili: Niko mbali na sina muda wa kushinda huko, Je, ni nani atanisaidia kupanda, kusimamia na kuendesha hayo mashamba? 
 
Ili kutimiza ndoto yangu hiyo tumeweka utaratibu ufuatao utakaohakikisha kila mwenye ndoto, kiu na hamasiko la kuwekeza kwenye kilimo cha miti anafanikiwa.  Jisikie huru wakati wowote kuwasiliana nasi kwa ufafanuzi na msaada wa fursa hii. Natamani watanzania tuache kulalamika kuhusu wageni kuvamia ardhi yetu, badala yake tuchangamke kumiliki na kufanya uzalishaji katika ardhi yetu.

 

Inawezekana! Kwa kutumia sheria ya ardhi ya mwaka 1999 sheria namba 5 utapata documents za umiliki; kwa kuzingatia taratibu na tamaduni zote za wenyeji zinazohusiana na umilikaji ardhi nitahakikisha nakusaidia ili ndoto yako itimie.

MCHANGANUO WA GHARAMA:

Kununua shamba  ……....………80,0000/=

Kununua miche ……….....………60,0000/=

Kupanda ……………........………..60,0000/=

Usafiri ……………………...........… 10,000/=

Pruning ….............................. 50,0000/=

Fire line (njia za moto) …....… ..50,0000/=

Jumla ………………….......…..310,000/=

 

PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR) updated its EGG INCUBATOR& mizinga page.

$
0
0

Asasi ya PDPR inauza na kukopesha vitotozi vya mayai ya kuku automatic na manual vya mafuta ya taa na umeme, mashine za kuchomelea, kufyatulia tofari, biogas plant (umeme wa choo) mizinga ya nyuki, vifaranga vya kuku na samaki na miche ya matunda. Pia tunatoa mafunzo ya ujasiriamali, biashara na masoko, uwekezaji na kilimo cha matunda mbali mbali pia ufugaji wa nyuki, kuku, nguruwe na samaki na kilimo cha viazi, mahindi, ndizi, nyanya, pilipili hoyo, nyanya chungu, mananasi, matikiti maji, tango, papia,  tunavitabu vinauzwa kwa TSH: 2000/=  kwa kitabu na TSH: 3000/= Softy copy na pia tunaendesha kambi za mafunzo kila mwezi wa watatu, sita, tisa na kumi na mbili na mafunzo kwa njia ya masafa kwa kila somo. kwa maelezo zaidi popote nchini piga  0754397178 au 0652556833 au tuma email pdprngo@gmail.com.

Mashine hizi zina ufanisi wa zaidi ya asilimia 87 kama mashariti na vigezo vya utumiaji vitazingatiwa na mteja. PDPR inauzoefu wa miaka mitatu na imeshauza zaidi ya mashine 4710 ndani na njee ya nchini kama Zambia, Malawi na zina warranty ya miezi 6 hadi 9 na wateja wetu watapata huduma baada ya mauzo (after sale service) na kupwe mafunzo ya ujasiriamali na mradi husika bure na watatafutiwa masoko ya bidhaa zao.

Tupo wilaya ya Njombe, Kata ya Mtwango ila tunahudumia nchi Nzima Bidhaa yako itasafirishwa kwa busi au lori kokote nchini. 

BEI ZETU MPYA NI KAMA IFUATAVYO KUTOKANA NA GHARAMA ZA UZALISHAJI KUPANDA KUANZIA TAREHE 01/05/2015  Hasa kwa kupanda kwa Dollar

Bei ya mzinga ya ubao wa juu 45,000/= , Commercial 110,000/=

Kifaranga cha samaki mia tatu 300/=

Kifaranga cha kuku bloiler not pure 400/= , pure bloiler 1200/=, Chotara 1,100/= , mayai 1,500/=, kroiler 1500/=, Kenbro 1500 /=, Kanga 2000/=


Incubator za mafuta ya taa 30- 130,000 ,    50 - 200,000,   120 - 350,000

240- 450,000   300 - 550,000


Incubator ya umeme Semi automatic 60 - 250,000    120 - 350,000    240 - 450,000

300 - 550,000    500 - 750,000     1000 - 1,200,000,  1500 - 1,400,000,  2000 - 1,600,000 3000 - 2,600,000 4000 - 3,5000, 5000 - 4500,000 Egg turning have special handle, you turn eggs for 15 Seconds only. (Temperature is automatic, humidity is automatic for machines ranges between 500 up to 5000)

Full automatic (Tempreture, humidity and egg turning) mayai 48 -350,000  120 - 750,000     240 - 850,000   300 - 950,000  500 - 1,300,000 1000- 2,300,000  1500 - 3,200,000   2000- 4,000,000  

Mashine za kutengeneza mkaa wa taka taka ngumu zinauzwa Mnual TSH: 160,000/= gunia 2-3 kwa siku, Umeme kati HP 3 gunia 5- 8 kwa siku TSH: 800,000/= Kubwa HP: 7 gunia 15 - 40 kwa siku 3,000,000/=  utapewa mafunzo na vitabu vya kutumia na mkaa wako wa ziada tutanunua sisi kwa bei nzuri.

Pia tunahitaji mawakala wa kututafuti masoko na wakala watapewa punzo ya asilimia 7% wanaponunua bidhaa zetu na gharama ya kujisajili ni TSH: 15,000/= na watapewa vitabu na mafunzo maalumu ya kuwawezesha kufanya kazi kwa ufanisi na wakala atuutumie email address yake kwenye pdprngo@gmail.com pamoja na majina yake matatu na mkoa anaopatikana au apige 0754397178, 0652556833 kwa maelezo zaidi

Mtwara Umbrella People's Organization/Kikundi Mwavuli Mtwara updated its Pictures page.

$
0
0

Community Rsources Centre buit in Mtandi Village found in Msimbati area. The project funded was by Seacology.

Mtwara Umbrella People's Organization/Kikundi Mwavuli Mtwara added 5 News updates.

$
0
0

The MAMASAMKI Group (Women Fish Mongers) supported with Fish Cooling Container, posed for a picture when the Danish Society For Living Sea Chairman (Mr. Knud undersen) was handing over the container instalation activities to the KIMWAM and  Women.

Herre down, is Solar system for Fish Cooling Container, installed for for MAMASAKI Group. The project is funded by Danish Society for Living Sea with intention to support Poor Women Fish Mongers in Mtwara district. While on other side are the Group members secretary taking a note a the meeting held at Ferry area in Mtwara.

Counselling and Family Life Organization (CAFLO) added a News update.

$
0
0

Among the students whose parents are living with HIV/AIDS who are given some basic needs and education by the aid  of Nuru primary school

Most vulnerable student of Salei Primary school given Uniforms by CAFLO Arusha Office among of them live with HIV\AIDS

Viewing all 4212 articles
Browse latest View live