Chama cha Skauti Zanzibar leo tarehe 17/3/2018 kimemuapisha Skauti mkuu wa chama cha skauti Zanzibar katika ukumbi wa Kilimanjaro Super star Nursery uliopo Mwanakwereke Mjini Zanzibar
Mlezi wa Chama Cha Skati Zanzibar Mheshimiwa Balozi Ali Karume ambae pia ni Waziri Wa Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo, akisaini hati ya skauti Mkuu Mheshimiwa Makame Mshimba Mbarouk katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa kilimanjaro Super Star Zanzibar
Nae mlezi wa Chama hutubia Maskauti waliohudhuria katika Mkutano huo
Skauti Mkuu Akimuapisha Kamishna Mkuu wa Chama Cha Skauti Zanzibar
Kamishna Mkuu wa Chama Cha Skauti Zanzibar akiapishwa na skauti Mkuu