ALLIANCE FOR SOCIAL CHANGE:
Umasikini na ujinga ni giza nene linalo ificha jamii ya kitanzania kule kijijini kuonekana kama haipo hata kama ina mawazo chanya ya kujikomboa katika hali duni iliyopo, lakini ujinga na umasikini ni kikwazo cha kusonga mbele.Tukishikamana majibu yanapatikana si kwa maneno tu bali kwa vitendo karibuni wadau.”welcome Tz country of milk and honey”.