Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Wasaidizi wa kisheria Masasi added a News update.

$
0
0

Asasi kwa kushirikiana na wanaasasi wae imeandaa mafunzo ya sheria ya malezi ya mtoto 

kwa wanajamii wa kata ya Mpeta. Mafunzo hayo yamelengwa kuwasaidia wanajamii kuweza kufahamu umuhimu wa malezi kwaa mtoto na sheria zinazohusu masuala hayo. Mafunzo hayo

yatafanyika kati tarehe 10-14 za mwezi wa Septemba mwaka huu wa 2105 kwenye zahanati ya Mpeta. Wawezeshaji watakuwa ni Yakobo Mchopa, Mwanaafa Malenga, Anjelina Saidia na Thecla Mbawala.

Ni matumaini yetu kuwa wananchi wa kata hiyo na vijiji jirani wataweza kuhudhuria na kupata elimu hiyo itakayotolewa bure.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles