Tunapenda kuwafahamisha wadau wetu kuwa ofisi zetu sasa zimehamia mtaa wa skoya katika jengo la Halmashauri ya manispaa zilipo ofisi za mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali MTWANGONET tunawakaribisha wote, kazi zinaendelea na harakati zinaendelea.
"Vulunteering first"