SHIRIKA LA KUSAIDIA JAMII TANZANIA
OFISI YA MKURUGENZI MKUU
TANGAZO
Kutakuwepo na Kikao Cha I Cha Chama Cha Ualimu Tanzania – CUT, Kitakachofanyika Siku ya Jumapili ya Februari 08, 2015 Saa 08:00 Mchana hadi Saa 12:00 Jioni Katika Ofisi za Shirika la Kusaidia Jamii Tanzania – TSSF.
Kikao hiki kitafanyika Chini ya Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF na Watakaohudhuria ni Wale Wajumbe Waliopata Mwaliko Kutoka Katika Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF.
Imetolewa na;-
Mkurugenzi Mkuu – TSSF.