CHUO CHA VICTORY CHATOA VYETI KWA WAHITIMU WA MAFUNZO YA ICT
Victory & Faith Training Centre kimewakabidhi vyeti zaidi ya vijana 16 waliohitimu mafunzo ya compyuta ICT ngazi ya cheti.
Mkurugenzi wa Victory ambaye pia ni Mkurugenzi wa shirika la vijana morogoro-VIYOS0 aliwaasa vijana kutumia ujuzi walioupata wa ujasiliamali na compyuta kujiajili na kutosubili kuajiliwa.
Vijana nao walikishukulu chuo cha VICTORY kwa malezi bora kwa vijana na ufundishaji wenye tija unaokwenda na technologia ya kisasa na kuwataka vijana ndani na nje ya Morogoro kujiunga na Kituo kihi cha vijana hili kujiendeleza kitaaluma.
Mkurugenzi wa Shirika la Vijana - VIYOSO Bw. Freddy Ng'atigwa akiwa na baadhi ya wanachuo wa VICTORY waliohitimu mafunzo ya ICT mara baada ya kupewa vyeti vyao Mai 3,2014