VICTORY YASHIRIKI MEI MOSI
Chuo Cha Victory & Faith Training Centre kimeshiriki katika maazimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mei mosi katika viwanja vya Jamuhuli Mkoani Morogoro.
Mkurugenzi wa chuo cha Victory akiwa na baadhi ya wanachuo wakifuatilia kwa makini maazimisho ya siku ya Mei mosi katika uwanja wa Jamuhuri Mkoani Morogoro