Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Mzeituni Foundation added 2 News updates.

$
0
0

large.jpg

Ndugu Martine Mziba,afisa wa Idara ya maji akifungua kikao kifupi na kuwatambulisha wageni kutoka wizara ya maji  na ofisi ya waziri mkuu TAMISEMI walipokuwa katika kitongoji cha KIZULE kata ya Ngoma jana 14/06/2013 eneo ambalo Mzeituni Foundation kwa kushirikiana na idara ya maji wamekuwa wakitekeleza zoezi la usajili wa vyombo vya watumiaji maji. Jumuiya ya watumiaji maji KIZULE wamekuwa mfano mzuri kwani kwa pamoja na kwa kushirikiana na wananchi wameweza kujiwekea kanuni na taratibu za chombo chao.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles