ANGALIZO KWA VYOMBO VYA HABARI
Waandishi wote hususani nchini Tanzania wenye tabia ya kutoa habari bila utafiti wowote au wa kina, mnatahadharishwa kutoendelea kutumia wanasiasa watumiao siasa vibaya katika kuharibu taaluma zenu na umaana wa uwepo wenu kwa jamii kwa kutoa habari pasipo kufanya utafiti au utafiti wa kina. ''NO RESEARCH NO RIGHT TO TALK''