Elimu ya ujasiriamali ina mchango mkubwa katika uboreshaji wa maisha na afya ya jamii. MANSHEP ikishirikiana na wadau mbalimbali katika mafunzo ya utengenezaji wa Sabuni za usafi wa mikono kwa ajili ya kunawa kabla na baada ya kula au kunawa baada ya kupata huduma za choo. Katika mafunzo haya yaliyofanyika Isanga katika kanisa la S.D.A, Mbeya washiriki walijifunza utengenezaji wa vitu mbalimbali. ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA.
↧
Majani Natural and Scientific Health Promoters (MANSHEP) added a News update.
↧