Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

CHAMA CHA MAENDELEO YA KIUCHUMI NA KIJAMII VUGA updated its Home page.

$
0
0

MADHUMUNI

1.1.1  Kusaidia jamii wakati wa maafa na/au majanga mbalimbali.

1.1.2  Kusaidia wakati wa shughuli mbalimbali za kijamii na kiutamaduni.

1.1.3  Kubuni program zitakazohusisha ajira rasmi na    zisizorasmi              

            zinanohusu uzalishaji Mali na huduma.

1.1.4  Kubuni mikakati mbalimbali itakayoweza kuimarisha maendelao ya

          Elimu miongoni mwa Wananchi watokao Wilayani Lushoto.

1.1.5  Kuonyesha kwa vitendo katika kuwajali watu walioathirika na kuathiriwa

          na UKIMWI na WALEMAVU.

1.1.6  Kukuza ajira miongoni mwa Vijana na Wananchi kwa njia ya Kilimo,

          Ufugaji na Biashara.

1.1.7   Kujenga mahusiano na Taasisi za ndani na nje ya nchi ili kuleta

           mahusiano kati ya CHAMA na Taasisi husika.

1.1.8  Kuboresha uhifadhi na kuonyesha kwa vitendo katika kujali Ulinzi wa 

         Mazingira.

1.1.9  Kushiriki katika kubuni, kupanga na kutekeleza mipango mbalimbali

          ya Kitaifa na Kimataifa.

1.1.10 Kuhamasisha jamii mbalimbali ili kujiunga na vyama vya Akiba na

         Mikopo yaani Savings and Credit Cooperative Society (SACCOS).

1.1.11  Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano

          inayohusu maswala mbalimbali ya Michezo na Maendeleo.

1.1.12   Kuhimiza utunzaji wa vyanzo vya Mito, Upandaji wa Miti na

            utunzaji Mazingira.

 

1.2              KAZI

1.2.1  Kuhamasisha utoaji wa Michango itakayo wezesha Ujenzi wa Shule:Za

      Awali,Msingi,Sekondari,Vyuo,Vituo vya Afya na Zahanati  Wilayani   

      Lushoto pamoja na sehamu mbalimbali za nchi.

1.2.2 Kuhamasisha Uanzishwaji wa Vituo vya kulelea Watoto Yatima,na

      waishio Mazingira hatarishi.Na Vituo vya Ushauri nasaha kuhusu   

       magonjwa ya Ukimwi.

1.2.3 Kuanzisha Mfuko wa Jamii kwa ajili ya kusaidia Wajane, Wazee, Vijana

        na Yatima.

1.2.4 Kuainisha na Kuwezesha utekelezaji wa Program za Mafunzo  

      kuendeleza Vijana na Watoto katika kupanua Vipaji vyao maalumu

       kimichezo.

1.2.5 Kuwasiliana na Mashirika yaliyoko ndani na nje katika kusaidia

        Madhumuni na Malengo ya CHAMAKIVU.

1.2.6  Kutoa Elimu ya Ujasiliamali kwa lengo la kuboresha Kilimo, Ufugaji,

        Biashara na utoaji wa Huduma mbalimbali.

1.2.7  Kuendesha Makongamano, Warsha, Semina, Majadiliano na Mikutano

         mbalimbali inayo husu Maendeleo.

1.2.8 Kuwa Wadhamini kwa Wanachama walengwa wote wa CHAMAKIVU

         katika uwezeshaji wa Mikopo na/au Utoaji wa Mikopo kulingana na      

          Taratibu za CHAMA.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles