Lishe bora na mlo kamili ni muhimu kwa afya kwani huongeza kinga ya mwili ya kukabiliana na magonjwa na kulainisha ngozi. Katika sehemu ambazo watu wanatumia matunda na mboga za majani kwa wingi matumizi ya dawa zenye kemikali zinazotengenezwa viwandani, yanapungua sana.
↧