Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Tanzania Rehabilitation Organization updated its Projects page.

$
0
0

Help a KID program (2013)

 

Hii ni nchi yetu watanzania, sisi sote kwa namna moja ama nyingine tumepitia shida, tabu na matatizo ya kila aina, lakini twaweza kuwa hatuko katika hali hiyo kwa namna ile. Jiulize, na fikiria ni kwa jinsi gani uliumia na kuhangaika kutafuta namna ya kutoka katika hali ile uliokuwa nayo.

Tuna vijana wengi kwa sasa wanaopitia shida na matatizo mengi sana, wengine hawana pesa ya kulipa karo ya shule, hawana pesa ya kujipatia mahitaji ya shule. Kwa nafasi ulionayo ni kwa namna gani waweza saidia angalau kuokoa maisha ya kijana mmoja?

kwa umoja wetu tunaweza kuleta mabadiliko kwa jamii yetu na nchi kwa ujumla. Tumia nafasi ulionayo angalau uyaguse maisha ya kijana ambaye anasubiri uwepo wako.

Mradi (Help a KID) ni mahususi kwa vijana ambao hawana uwezo kabisa wa kumudu gharama za shule na pia mavazi. Tunaomba ndugu mtanzania tuwe na utamaduni wa kujitegemea na sio kusubiri wazungu waje watusaidie. tuchangie kiasi chochote ulichonacho ili kiweze kuleta mabadiliko ya kweli. pesa yote itakayopatikana itawafikia walengwa.

Kwa mawasiliano na namna ya kuweza kutoa mchango wako tafadhari wasiliana nasi kwa mawasilino yanayopatikana kwenye tovuti hii.

 

imetolewa,

Mr. PETER. T.S .

Chairperson-Tareo, Tanzania

 

NB: Below is a kind of a form the organization provides to individuals for donation.

 

TANZANIA REHABILITATION ORGANIZATION

          

Help a KID program (2013)

 

Help a KID is a program established in 2013 for the intention of bringing positive changes into the community we are living. The program ensure maximum security to youths who are vulnerability in their community, youths who have no means to pay their school fees, inability to accommodate themselves.

We have initiated this program for Tanzanians and it will be sponsored by Tanzanians themselves, because we can do it. Stretch your hands and hold the needy children, show your love, kindness and humanity to these disadvantageous groups.

Whoever touched with this, please help us by giving little amount you have in each month. Your money shall benefit the needy and not otherwise. Feel free to give and fill this form, commit and promise to give each month to any amount of your choice.

Thanks, and GOD BLESS YOU AND HEAR YOUR PRAYER!!!

Fill here!

Full Name________________________________________________________________

Amount (Tshs) each month___________________________________________________

Contact(s)_______________________________signature__________________________

NB: Use the following ways to send your gift, grant or aid.

Account Name: Tanzania Rehabilitation Organization

Account Number: 51710000992

Bank: National Microfinance Bank- Tanzania (NMB-Tanzania)

Branch: Mazengo Branch- Dodoma

 

 

Contacts: BOX 140, Dodoma.

               tareo2011@yahoo.com

               petho09@yahoo.com

               www.envaya.org/tareo

               

PETER. T.S    

Project coordinator

Dodoma Youths Forum

Dodoma Youths Forum, is a expected to be a youths policies discussion platform, on March, July and November (2013).

Youths in Dodoma get ready.

 

TAREO present:

 

ELIMUPLUS PROGRAM FOR DODOMA SECONDARY SCHOOLS

 

The program will equip students with; study techniques skills, responsibility skills,civic consciousness, life skills, moral skills, HIV/AIDS knowledge and other STDs. These skills are very important to their studying.

We hope that, through this training students shall have to understand their side weaknesses and know how to overcome them. Changing ones perspetives needs great attention to his/her attitudes and behavior.

The program/trainers will make sure that, all students participated have basic skills for the better individual life development as well as society in general.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles