MWANANCHI WAJIBIKA
"Ni Haki Yako Kufuatilia Matumizi ya Rasirimali Maji Katika Eneo Lako"
> Picha hapo Juu Mkurugenzi wa Halimashauri ya Wilaya ya Kigamboni,Viongozi toka UNATZ na Baadhi ya Wajumbe Kamati za Maji Kigamboni Pamoja na Wanachi wa Kigamboni Katika Maonesho ya Sanaa Kigamboni Kwenye Mdahalo.
#majipoa
#unafcs
#kigamboni,vijibweni,kibada,mjimwema