Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT added a News update.

$
0
0

large.jpg

Ndg. Hassan Luheko Mnaute akifafanua jambo la mwezeshaji Mdg. Feruz kutoka idara ya ardhi, wilaya ya Tandahimba katika mkutano wa kupitisha mpango wa matumizi bora ya ardhi, wakati wa utekelezaji wa mradi wa kuwajengea uwezo wananchi, wajumbe wa mabaraza ya ardhi ya vijiji na kata, kuhusu Sheria Na. 5 ya Ardhi ya vijiji ya mwaka 1999, na kanuni za Ardhi za mwaka 2002, katika ukumbi wa Parish holl uliopo Luagala, Wilaya ya Tandahimba mkoa wa Mtwara - Tanzania.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles