Emmanuel Gervas, Mwanasheria(Kutoka Centre for Widows and Children Assiatance- CWCA) akitoa mafunzo juu ya sheria mbali mbali za nchi na utawala bora yaliyofanyika katika Manispaa ya Musoma kwa wasaidizi wa sheria kutoka katika Manispaa ya Musoma na Vijijini.
↧
Musoma Municipal Paralegal Organization added 13 News updates.
↧