Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

ORGANIZATION FOR LAND AND AGRICULTURE IMPROVEMENT added a News update.

$
0
0

large.jpg

Ni ndg. Hassan Luheko Mnaute, kiongozi wa OLAI, akisisitiza jambo la mwezeshaji katika mkutano wa hadhara wa uhamasizaji Ndg. Feruz kutoka idara ya ardhi ya wilaya Tandahimba, kuhusu kuizingatia sheria 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999 katika kijiji cha Nachunyu kilichopo wilayani Tandahimba, mkoani Mtwara - Tanzania.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles