Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

ASASI YA MAENDELEO USTAWI NA AFYA added a News update.

$
0
0
AMUA katika kipindi cha Oktoba- Disemba itaandaa kongamano la kuzungumzia visababishi na madhara ya mimba na ndoa za utotoni kwenye kata za Nanjota, Lipumburu na Lupaso wilayani Masasi. Lengo likiwa ni kuibua mawazo na changamoto kutoka kwa jamii. Washiriki watatoka kwenye maeneo husika.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212