DIRA
> Jamii ya Watanzania inayo heshimu Misingi ya Utawala Bora
DHAMIRA/UTUME
> Kuelimisha Jamii juu ya Dhana ya Utawala Bora kupitia Semina,Warsha,Midahalo,Makongamano,Mijadala na Sanaa Shirikishi(Sanaa kwa maendeleo ya Jamii
MADHUMUNI
(a) kuhakikisha tunaunganisha nguvu ya pamoja na kufanya kazi kwa pamoja
Katika kupambana na umasikini
(b) Kuwajenga vijana, nakuwandaa ili waweze kushiriki
Katika kujitambua kutoa mamuzi sahihi katika
Jamii
(c) Kuanzisha programu zitakazo wahamasisha vijana katika
kuifahamu
nchi na dunia kwa ujumla na kukuza ujamaa na heshima baina
yao na watu wengine
(d) Kutoa huduma na msaada katika jamii inayotuzunguka
(e) Kuwa mstari wa mbele kupambana na magonjwa kama
{Ukimwi,Malaria n.k
(f) Kuandaa programu zenye kutoa elimu kwa jamii na kutilia
msistizo kwenye elimu ya akina mama katika kuzijua haki zao
(g) Kutetea wanyonge na kukemea unyanyapaa na unyanyasaji wa kijinsia
kikabila
(i) Kuandaa programu za kuwasaidia watu wasiojiweza kama, yatima,
wazee, wajane na walemavu na makundi yaliyopembezoni
(j) Kuibua vupaji na kuvitumia katika kujiletea maendeleo na nchi
kwa ujumla {kujipatia ajira )
(l) Kutoa elimu ya uraia na jamii kwa pamoja na maswala ya utawala
bora
(m) kutoa elimu ya dawa za kulevya