WAKIHABIMA kwa kushirikiana na shirika la legal services facility LSF litaendesha mafunzo ya siku moja ya namna ya kuandaa na kuandika andiko la mradi, project write -up. Mafunzo hayo yatafanyika siku ya tarehe 22/11/2016 kenye ukumbi wa kanisa Katoliki parokia ya Masasi mjini. Hii ni kwa mujibu wa maelezo ya mwenyekiti wa WAKIHABIMA, Mr. Fungafunga bada ya kupewa taarifa ya mafunzo hayo. Ni matarajio ya uongozi na wanachama wote kuwa mafunzo haya yatatoa mwanga wa kuwezesha asasi yetu kueza kuandaa maandiko ya miradi ili kupata wahisani watakaofadhili shughuli za asasi.
↧