huyu hapa anaitwa Mahamdu Kileda ndiye Coordinator wa Kata ya Shighatini katika asasi yetu.Hapa anaonyesha umahiri wake kwa kuvaa mavazi ya Kuvunia asali katika mizinga .Hapa ilikuwa ni kwenye semina ya vikundi viwili vya nyuki wakiwa kwenye mafunzo .
↧