Kutokana nakutokuwa hewani kwa muda mrefu Tunaweza Women Group tunaomba radhi kwani ilikuwa nje ya uwezo wetu, napenda kuwajulisha kuwa hivi sasa tumerudi tena natunaendelea na kazi za kulijenga taifa letu shime wana Azaki tushirikiane
Ahsante wenu katika ujenzi wa taifa
Ariziki Mtambalike