Kikao cha kamati ya utendaji kimeamua kuanzisha darasa lingine lanutoaji wa haki za binadamu
kwenye kata ya Mwena yakilenga utoaji wa elimu ya haki za wanawake na watoto.
Msimamizi wa maunzo wa shirika Bi Tecla Mbawala amebainisha kuwa kazi ya usajili wa washiriki itaanza ambapo Bw. Maurice Ng'hitu amepewa kujumu la kuorodhesha majina.