Habari zenu wadau,
Kijogoo Group for Community Development Imebahatika kuwasilisha maombi ya ruzuku ubalozi wa Ufaranza,hivyo na hamasisha wadau wote tutumie fursa hii kutuma maombi ya Ruzuku ili tuweze kuisaidia Nchi katika kupambana na mabadiliko ya Tabia Nchi na kusaidia Jamii inayoishi katika mazingira magumu ili sote tusonge mbele na kupiga hatua za kimaendeleo.
Asanteni sana
Ramadhan said
Mkurugenzi
Kijogoo Group for Community Development