Tanzania Educational Motivation Alliance-TEMOA:
Tunapenda kuwaalika ndugu jamaa na marafiki zetu wote kote nchini kuonesha upendo kwa vijana wetu wanaofanya vizuri kwa kuwazawadia chochote kwani kufanya hivyo kunaongeza hamasa miongoni mwao. Wanafunzi wanhitaji kutambuliwa ili waendelee kusoma kwa bidii. Unaweza kupitisha mchango au zawadi yako katika shirika letu nasi tutaufikisha kama ulivyo na utapata taarifa za mchango wako punde tunapopokea na kuufikisha mchango huo.
BENEDICT BAGENI MWASOKWA
MWENYEKITI MTENDAJI
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:
0757918700 au 0674827760