Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Lindi Non Governmental Organization Network updated its History page.

$
0
0

Mtandao wa AZAKi Wilaya ya Lindi umefanya Mkutano wake mkuu wa mwaka 2012 siku ya tarehe 26/01/2013 katika ukumbi wa Lindi Press club.

Mkutano huu pia ulikuwa mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa Mtandao ambao kwa mujibu wa katiba ya LINGONET hufanywa kila baada ya miaka mitatu.

katika uchaguzi huo viongozi wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa Mtandao kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.

1. ESHA SALUM                     -MWENYEKITI

2. MARTINA CHIKOKO           -MAKAMU MWENYEKITI

3. KHAMIS CHILINGA              -KATIBU MTENDAJI

4. ABDALLAH MAIKO               -KATIBU MSAIDIZI

5. HADIJA HASSAN                  -MJUMBE

6. SCHOLASTICA NGULI               -MJUMBE

7. ABDALLAH MAJUMBA            -MJUMBE

8. SELEMANI NAKULOTA           -MJUMBE

9. FATUMA NNAMBUYE              -MJUMBE

10. MIKE JOHN MLWILO             -MJUMBE

11. ASHA BILALI                       -MJUMBE

Mkutano mkuu pia ulimteua Bwana Saidi Kawanga kuwa Muhasibu wa LINGONET

Pamoja na uchaguzi huo wajumbe walipata nafasi ya kupitia na kujadili taarifa ya utekelezaji na fedha kwa mwaka 2011/12


Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles