Pamoja na kuwa kasi ya maambukizi ya ukimwi kuonekana kupungua lakini bado tatizo hili lipo ndani ya jamii.Ndiyo maana Epa-ukimwi imeanzisha jukwaa la wadau kupaza sauti na kuikumbusha jamii kuwa makini.Humo wanajamii wanaalikwa kushiriki katika kukemea matendo machafu na yanayohatarisha afya hasa kwa vijana.Siku za wanajukwaa kukutana ni Jumanne na ijumaa kila wiki.
↧