Kyela hatarini kwa mafuriko tena:
Kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani Kyela mkoani Mbeya. kuna taarifa kuwa maji yameshaanza kuingia kwenye kaya za watu.
Inasemekana kuwa baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wameshaanza kukimbia makazi yao kuelekea sehemu za mwinuko ili kunusuru maisha na kuokoa mali zao......