YAH: KUFUNGULIWA KWA SHUGHULI ZA TSSF RASMI KATIKA MWAKA 2015.
Uongozi wa Shirika la Kusaidia Jamii Tanzania (TSSF) unapenda kuwataarifu wateja wake, wananchi, na umma kwa ujumla kwamba, Shughuli za Shirika la TSSF zimefunguliwa kuanzia Januari 27, 2015 Mwaka huu. Hivyo basi, unaweza kutembelea ofisi za Shirika la TSSF zilizopo katika Ploti. Na.164, Barabara ya TANU Mkabala na Ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali za Shirika letu.
Ofisi zipo wazi kila siku za Jumatatu - Ijumaa kuanzia Saa 08:00am - 5:00pm
na siku za Jumamosi kuanzia Saa 08:00am - 12:00pm
Kwa maelezo zaidi fungua tovuti yetu ambayo ni Http://www.tssf-org-tz.weebly.com
Imetolewa na
Ofisi ya Naibu Mkurugenzi Mkuu - TSSF.