MAISHA NI CONNECTION HAIJALISHI UMEPATA AU LAAH!
Picha hii inanikumbusha mwaka 2012, nikiwa jijini dar, nikapendekezwa na vijana wa kuchukuliwa fomu ya kugombea uwakilishi wa baraza kivuli wa vijana wa Wilaya ya Magu mjini.
Napenda kuwashukuru vijana wote walionipendekeza na kunichagua, hakika ni upendo wa dhati sana.(mimi ni wa tatu kutoka waliokaa upande wa kushoto ukutani)