DESEMBA 14, 2014-
UCHAGUZI NGAZI ZA CHINI ZA SERIKALI ZA MITAA
"Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 (kwa Mamlakaza Wilaya) na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288 (kwaMamlaka za Miji) zinaelekeza kuwa Uchaguzi wa Viongozi wa Mitaa, Vijijina Vitongoji hufanyika klabaada ya miaka mitano (5).
Kwa mwaka 2014, uchaguziwa Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji, Mitaa;Wajumbe wa Halmashauri zaVijiji, na Wajumbe wa Kamati za Mitaautafanyika nchini kote tarehe14Desemba,2014kama ilivyotangazwanaWaziri mwenye dhamana na Serikali za Mitaa tarehe 2 Septemba, 2014.
Katikakufanya maandalizi ya uchaguzi huo shughuli mbalimbali zamaandalizi zimefanyika na zinaendelea kufanyika ili kufikia hatuambalimbali za ukamilishaji." Kutoka website ya TAMISEMI.
Soma Ratiba ya mchakato HAPA au na kusoma au kujipakulia Kanuni za uchaguzi, Mipaka ya mitaa na vijiji kwa ajili ya uchaguzi huu bonyeza HAPA.
Nyumba Imara ina Msingi Imara.
Uongozi Bora ktk Vijiji na Mitaa ndiyo msingi wa kustawi kwa Demokrasia na Maendeleo nchini. JISHIRIKISHE