DAKEDEO NA PROGRAM ZA MAFUNZO KUPITIA KITUO CHA ELIMU YA KUJITEGEMEA UJASILIAMALI NA UJENZI WA WELEDI(DAKAWA CENTRE FOR SELF RELIANCE AND SKILLS DEVELOPMENT (DCSSD).
Mafunzo kwa ajili ya Elimu ya maadalizi ya kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2014 yamefunguliwa rasmi.
kupitia kituo chake (DCSSD) imeanzisha vituo vya ziada katika kata za Sungaji,Dihinda,Lusanga,na Turiani.
Kuanza kwa mafunzo ya Kompyuta kwa msimu wa pili wa mwaka 2014 katika Kituo kikuu cha Mafunzo Wami Dakawa.
DAKEDEO inaalika jamii toka katika kada mbalimbali kujiunga ili kuchangia maendeleo ya elimu kwa jamii.