Epa-ukimwi imefanikiwa kuwakutanisha watoa huduma majumbani wa kata 3 za mji wa Masasi na kuwapatia mafunzo ya rejea ya utoaji wa huduma kwa waathirika wa maambukizi ya virusi vya ukimwi. Hii ilifanywa ili kusaidia juhudi zinazofanywa na serikali kupitia kitengo cha CTC katika hospitali ya Mkomaindo.
↧