Quantcast
Channel: Envaya: Latest updates
Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

BAKWATA WILAYA YA GAIRO added a News update.

$
0
0
Mwenyekiti wa Halmashauri Wilaya BAKWATA Gairo amefariki leo majira ya saa 4 asubuhi. Kwa taarifa ya kifo chake mwenyekiti huyo bwana Sheikh Ramadhan Makame amepatwa na umauti baada ya kusumbuliwa muda mrefu na tatizo la upungufu wa damu, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho saa 7 baada ya swala ya Adhuhuri. INNA LILLAH WA INNA ILAIH RAAJIUN

Viewing all articles
Browse latest Browse all 4212

Trending Articles