MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM)JUNI 21,2014.
Mwenyekiti anawataarifu wanachama,wajumbe,wadau na jamii yote kuwa juni 21 2014,chawaumavita wanatarajia kufanya mkutano mkuu wa mwaka,katika viwanja vya mazoezi tiba manzese ukombozi,saa 3 asubuhi.
agenda za mkutano mkuu ni
1.marekebisho ya katiba,
2.ripoti ya kamati tendaji 2013/2014,
3.mapato na matumizi.
wajumbe wote wana karibishwa katika kushiriki zoezi hili muhimu la kikatiba