HISTORIA FUPI YA MOROGORO PRESS CLUB
HISTORIA YA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MOROGORO
Chama cha waandishi wa habari Mkoa wa Morogoro(Morogoro Press Club) mchakato wa kuanzishwa kwake ulianza mwaka 1996 ilipofika tarehe 13/3/1997 ikapata usajiri wizara ya Mambo ya ndani na kupata cheti cha usajili chenye namba. SO.NO.9009 ikiwa na wanachama 20 kwa sasa Morogoro Press Club ina wanachama 70.
MADHUMUNI NA MALENGO:
- Ni chama cha kitaaluma malengo yake mahususi ni kujenga mahusiano miongoni mwa wanachama na makundi yenye makusudio tofauti ikiwa ni pamoja na taasisi za raia.
- Kuwa kitovu cha masuala ya waandishi wa habari katika mkoa wa Morogoro. Kitahakikisha kuwa wanachama wake wanafanyakazi kulingana na maadili ya waandishi wa habari kama ilivyofafanuliwa na Baraza la Habari
- Tanzania katika masuala ya vyombo vya habari na maadili yake.
- Chama daima kitajikita katika kuandaa programu ya kazi katika:
- Kuinua kiwango cha taaluma katika tasnia ya habari kwa kuendesha mafunzo miongoni mwa wanachama wake.
- Kuwezesha wanachama kutumia rasilimali chache zilizopo katika kuboresha shughuli za ukusanyaji na usambazaji wa habari miongoni mwa waandishi wa watanzania.
- Kuimarisha ushirikiano miongoni mwa waandishi wa habari,watoa habari na taasisi za kitaaluma zenye kulenga kuongeza ufanisi katika habari na mawasiliano kwa maanufaa ya wanachama wote na jamii kwa ujumla.
DHAMIRA:
"Kuwaimarisha waandishi wa habari Kitaaluma"
DIRA:
"Kuwa na jamii yenye uhuru wa kujieleza na Uhuru wa Habari"
Morogoro Press Club kama ilivyo taasisi nyingine mara baada ya kupata usajili wake ilipita katika hatua mbalimbali za uongozi.
Awamu ya kwanza 1997-2000
Ndg.Anaclet Rwegayura-Mwenyekiti
Bi.Halima Kihemba -Makamu Mwenyekiti
Ndg.Wilson Karuwesa- Katibu na mtunza fedha.
wajumbe watatu wa kamati tendaji
Ndg.Richard Mwangulube
Ndg.Said Mtaalamu
Ndg.Aziza Msuya.
Awamu ya pili 2001 hadi 2002
Ndg Said Dogori Mwenyekiti
Ndg.Bonventure Mtalimbo-Makamu Mwenyekiti
Ndg.Aidan Libenanga(sasa Marehemu)-Katibu Mkuu
Bi.Monica Lyampawe- Mtunza fedha.
Wajumbe watatu wa kamati tendaji
Ndg.Simon Berege
Ndg.Halfan Diyu
Ndg.Richard Mwangurube.
Awamu ya tatu 2002 hadi 2004.
Marehemu Seraph Kuandika-Mwenyekiti.
Ndg.Bujaga Kadago- Makamu Mwenyekiti.
Ndg.Sita Peter wake-Katibu Mkuu.
Bi.Merina Robert- katibu Mkuu msadizi.
Bi.Kasilda Mgeni- Mtunza fedha.
wajumbe watatu wa kamati ya tendaji
Nndg.Nikson Mkilanya
Ndg.Samweli Msuya
Ndg.James Mkisi.
Awamu ya nne Julai 2004 hadi 2007.
Ndg.Bonventure Mtalimbo- Mwenyekiti
Bi.Idda Mushi- Makamu Mw/kiti.
Ndg.Thadei Hafigwa- Katibu Mkuu.
Ndg.Said Mtaalam katibu mkuu msaidizi
Ndg.Samweli Msuya- Mtunza fedha
Wajumbe watatu wa kamati tendaji
Marehemu Gilbert Suleman
Ndg.Said Dogoli.
Ndg.Wilson Karuwesa.
Awamu ya tano Julai 2007 hadi 2011
Ndg.Bonventure Mtalimbo- Mwenyekiti
Bi. Idda Mushi- makamu Mw/kiti
Ndg.Thadei Hafigwa -Katibu Mkuu.
Bi.Devota Minja K/Msaidizi.
Ndg.Samweli Msuya- Mtunza fedha
Wajumbe watatu wa kamati tendaji
Ndg.Ramadhani Libenaga
Ndg.Ashton Balaigwa
Bi. Lilian Lucas
Awamu ya sita Novemba 2011-2012
Ndg.Aziz Msuya-Mwenyekiti
Bi.Devota Minja-Makamu Mw/kiti
Ndg.Abedi Dogoli-Katibu Mtendaji
Ndg.Samuel Msuya-Mwekahazina
Bi.Lilian Lucas-Mwekahazina msaidizi
Wajumbe watatu wa kamati tendaji
Bi.Latifa Ganzel
Bi.Monica Liampawe
Ndg.Venance George
Ndg.Thadei Hafigwa-Mratibu
Awamu ya Saba Machi 2013-2014
Bi.Idda Mushi-Mwenyekiti
Ndg.Nickson Mkilanya-Makamu Mw/kiti
Ndg.Abedi Dogoli-Katibu Mtendaji
Ndg.Ramadhan Libenanga-Katibu Mtendaji Msaidizi
Bi.Lilian Lucas-Mwekahazina
Ndg.Peter Kimath-Mwekahazina Msaidizi
Wajumbe watatu wa kamati tendaji
Bi.Vaileth Mbwillo
Ndg.Fadhil Rashid
Ndg.Ashton Balaigwa
Ndg.Thadei Hafigwa-Mratibu
KAMATI YA MAADILI MOROGORO PRESS CLUB 2007-2011
Rashid Lusewa-Mwenyekiti wa Kamati ya MaadilI
Rev.Fr.Raphael Kigunga
Sheikh Mohamed Kairo
Rev.Johnson Chuma.
KAMATI YA MAADILI MOROGORO PRESS CLUB 2011-2014
Rashid Lusewa-Mwenyekiti
Ndg.Wilson Karuwesa
Sheikh Ally Omar-Mjumbe
Rev.Fr.Makseyo-Mjumbe
Ndg.Halfan Diyu-Mjumbe
Ndg.Idda Mushi-Mjumbe
Ndg.Thadei Hafigwa-Mjumbe
Ndg.Abedi Dogoli-Mjumbe
Ndg.Lilian Justice-Mjumbe
Pia Morogoro Press Club ina kamati ndogondogo za kusaidia kuharakisha utekelezaji wa majukumu ya kila siku.
Kamati ya mikutano,mialiko na Press conference.
Kamati ya mipango uchumi na fedha
Kamati ya michezo na burudani
Kamati ya ustawi wa wanachama(majanga)
Kamati ya mipango na maendeleo ya wanachama.
Kamati ya mahusiano ya ndani na nje.
Wenyeviti wa kamati hizi ni wajumbe wa kamati ya utendaji ambao kila mmoja anawasilisha taarifa ya kazi zao katika kamati tendaji kabla ya kuwasilishwa kwenye mkutano mkuu wa wanachama wote.
Mkoa wa Morogoro una waandishi wapatao zaidi ya 100 walio wanachama wanaofanyakazi katika vyombo mbalimbali vya habari vya serikali na binafsi.
MAFANIKIO YA CHAMA.
MOROPC imepata mafanikio makubwa yakiwemo;
- Kuwa sauti kwa wasio na sauti.
- Kuwa kiungo kati ya serikali na wananchi(people centered)
- Morogoro Press Club imeweza kujiunga na taasisi za kitaaluma kama vile umoja wa waandishi wa habari Tanzania(UTPC) na Baraza la Habari Tanzania(MCT).
- Kutokana na kuwa mwanachama wa taasisi hizo MOROPC kimenufaika vitendea kazi(vifaa vya ofisi) kama kompyuta,TV,Printer,scanner,kamera ya picha za mnato na picha za video(moving)
- Pia wanachama wanapata mafunzo na semina za kitaaluma katika kukumbusha masuala yote ya kimaadili.wanachama wanapata machapisho mbalimbali ya kitaaluma.
- kufungua tovuti yake kwa lengo la kuwahabarisha jamii kazi na majukumu mbalimbali yanayotekelezwa kutipitia taaluma ya habari.
- kuanzisha mfumo maalum wa kusaidiana katika masuala mbalimbali ya kijamii.
Ofisi ya MOROPC ipo katika jengo la Chama cha Walimu Tanzania(CWT) iliopo kata ya Kingo mkabala ya Mahakama ya mwanzo ya Nunge.
MIKAKATI YA KLABU.
Pamoja na mafanikio yote hayo pia MOROPC ina mikakati ya muda mrefu na muda mfupi,ikiwa ni pamoja na kuanzisha kituo cha HABARI Information (CENTRE).
Kuanzisha jarida la chama kwa ajili ya kupanua wigo wa kuwaweka wananchi karibu.
MAHUSIANO NA TAASISI ZINGINE
MOROPC imekuwa na mahusiano na taasisi za ndani na nje ya nchi AkibaUhaki foundation iliopo Nchini Kenya,Umoja wa Klabu za waandishi wa Habari Tanzani(UTPC) na Baraza la Habari Tanzania(MCT)
CHANGAMOTO
Morogoro Press Club kwa sasa ina toa huduma kwenye jengo la kupanga hivyo haina jengo lake.
MOROPC inakabiliana na changamoto ya raslimali fedha kwa ajili ya kutekeleza mipango mkakati ya kuimarisha taasisi na wanachama wake.
ORODHA YA WANACHAMA
S/N | JINA LA MWANACHAMA | CHOMBO CHA HABARI | PHONE | |
1 | LILIAN LUCAS | MWANANCHI | 0715880133 | |
2 | LATIFA GANZEL | UHURU | latifaganzel@yahoo.com | 0717707011 |
3 | CATHERINE OGESSA | SUA TV | camaongo@yahoo.com | 0713596252 |
4 | AZIZ MSUYA | B/TIME/MAJIRA | aziz_msuya@yahoo.com | 0713606992 |
5 | ABEDI DOGOLI | ABOOD MEDIA | a_dogoli@yahoo.com | 0716778632 |
6 | AZIZA MSUYA | FREELANCER | azizamsuya2004@yahoo.co.uk | 0754752697 |
7 | SAMUEL MSUYA | FREELANCER | samuelmsuya@yahoo.com | 0713200023 |
8 | ALOYCIA MHINA | RADIO JAMII-KILOSA | aloyciamhina@yahoo.com | 0787091531 |
9 | YOHANA FUNDI | TOP RADIO | yfund@yahoo.com | 0713384840 |
10 | JOSEPHINE MAXIME | ABOOD MEDIA | josemaxime23@yahoo.com | 0714899321 |
11 | JOSEPH MALEMBEKA | TANZANIA DAIMA | josephmale2001@yahoo.com | 0784824151 |
12 | ANITHA CHALLI | RADIO TIMES | anithachalli@yahoo.com | 0716125653 |
13 | LOVENESS NYAWILI | FREELANCER | lovenesslatuki@yahoo.com | 0715819479 |
14 | MOHAMED NGWENJE | FREELANCER | mngwenje@yahoo.com | 0713181760 |
15 | HABIBA YAHYA | MWANANCHI | habibayahya@gmail.com | 0718044742 |
16 | ADAM VENANCE | RADIO UKWELI | chiliutwa@yahoo.com | 0717638611 |
17 | PRAXEDA MTANI | TBC | praxedamtani@yahoo.com | 0655313888 |
18 | THADEI HAFIGWA | JAMBO LEO | hafigwa@yahoo.com | 0754683186 |
19 | UCHULI CHIKILLA | RADIO IMAAN | 0712472960 | |
20 | WILSON M.KARUWESA | FREELENCER | karuwesa@yahoo.com | 0754052362 |
21 | BONVENTURE MTALIMBO | JITEGEMEE | bonnymtalimbo@yahoo.com | 0713341093 |
22 | GABRIEL LESHABARI | ABOOD MEDIA IFAKARA | leshagaby@gmail.com | 0755566443 |
23 | FADHIL RASHID | RADIO JAMII KILOSA | fezzyd@yahoo.com | 0713384740 |
24 | ASHA SIMBA | RADIO JAMII KILOSA | aabushiri@yahoo.com | 0712801838 |
25 | PETER MGUMIA | FREELANCER | pumia@yahoo.com |
|
26 | HALFAN DIYU | MAJIRA | Halfadi68@yahoo.com | 0715621767 |
27 | FARIDA MSENGWA | UHURU | faridamsengwa@yahoo.com | 0786729373 |
28 | SEVERIN BLASIO | MAJIRA | severinblasio@yahoo.com | 0719312191 |
29 | VAILETH MBWILLO | PAMBAZUKO FM IFAKARA | vailethmbwillo@yahoo.com | 0753564383 |
30 | MONICA LIAMPAWE | TBC | mliampawe@yahoo.com | 0713440521 |
31 | FARIDA MKONGWE | SUATV | faridamkongwe@yahoo.co.uk | 0754370047 |
32 | SALUM KOLWE | SUATV | ||
33 | YUSUFU KITOGO | ABOOD MEDIA |
| 0717638611 |
34 | IDDA MUSHI | ITV | iddamushi@gmail.com | 0784296927 |
35 | SAIDI MTALAAM | PAMBAZUKO FM-IFAKARA | 07844024786 | |
36 | LILIAN JUSTICE | MAJIRA | Lilianchuwa5@gmail.com | 0653747599 |
| ||||
37 | ASHTON BALAIGWA | NIPASHE | ashtonbally@yahoo.com | 0713811110 |
38 | PROSPER KULITA | ULANGA FM | prosperkulita@yahoo.com | - |
39 | FITINA HAULE | NIPASHE | fitinah@yahoo.com | 0713328590 |
40 | JOHN KIDASI | RADIO UKWELI | johnnege@hotmail.com | 0653912959 |
41 | EMILIA MSAFIRI | RADIO UKWELI |
| 0754841310 |
42 | AGNESS HAULE | HABARI LEO | Agneshaule27@yahoo.com | 0656597840 |
43 | JIMMY MENGELE | CHANNEL TEN | jimmymengele@yahoo.com | 0713200020 |
44 | VIVIAN MWAISANGO | FREELANCER | vivianalpha@yahoo.com | 0764185635 |
45 | ANNE JULIUS | RADIO UKWELI | Annejulius15@yahoo.com | 0767968910 |
46 | ATHUMAN SHEKIONDO | ABOOD MEDIA | - | 0713769671 |
47 | HILDA SINGANO | ABOOD MEDIA | hildasingano@yahoo.com | 0715875993 |
48 | NICKSON MKILANYA | STAR TV | mkilanyastatv@gmail.com | 0713200018 |
49 | MERINA ROBERT | MTANZANIA | merinabob@yahoo.com | 0657646380 |
50 | AZIZA MSUYA | FREELANCER | azizamsuya@yahoo.co.uk | 0754752697 |
51 | PETER KIMATH | JAMBO LEO | mkimath@gmail.com | 0713529370 |
52 | GETRUDE KASSARA | FREELANCE | gkassara@yahoo.com | 0717036966 |
53 | DUSTAN SHEKIDELE | GLOBAL PUBLISHERS | dustanshekidele@gmail.com | 0715289073 |
54 | HAMIDA SHERIFF | MWANANCHI | ladyhamida@yahoo.com | 0715681287 |
55 | JOHN NDITI | HABARI LEO | jnditi@yahoo.com | 0755036471 |
56. | MCNAMARA NGHAMBI | MWANANCHI | maccogan@yahoo.com | 0717086733 |
57. | ATHONY MHANDO | PLANET FM | - | 0655559757 |
58. | JAMES MKISI | FREELANCER | - | 0658327748 |
59 | SAFIA MAFUTAH | ABOOD MEDIA | safiamafutah@yahoo.com | 0654088206 |
60 | FRANK MAPUNDA | SUATV | - | 0657644700 |
61 | PRAXEDA MTANI | TBC | praxedamtani@yahoo.com | 0655313888 |
62 | LIBUHI SALEHE | SUATV | - | 0754617205 |
63 | SALUM MKOLWE | SUATV | smkolwe@yahoo.com | 0653245554 |
64 | SUSUMA SUSUMA | PRO-MVIWATA | - | 0715652773 |
65 | IMELDA MWAKYUSA | CHANNEL TEN |
| 0713323578 |
66 67
68 69. 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81
| BRYCESON MATHIAS LWANGA MSALICHUMU MBUTTA ZAINABU SWALEHE ESTHER MWIBULA VUMILIA KONDO CHRISTIAN KILEWA RIZIKI HOZA AUGUSTINE NONGWE YUSUFU KITOGO GERALD NKAMIA LIBUHI SWALEHE GODFREY LIKANGAGA IMELDA MWAKYUSA JAMES MKISI PROSPER KULITA DEOGRATUS CHELECHELE AMINA SAIDI
| MAJIRA FREELANCER |
| 0754933308
|