Victory Youth Support Organization (VIYOSO) ni shirika la vijana lisilo la kiserikali (NGO) lisilotengeneza faida lililopo ndani ya kata ya Uwanja wa Taifa Mainspaa ya morogoro.
Shirika linafanya miradi mbalimbali kwa vijana yenye lego la kumsaidia kijana wa kitanzania kujitambua na hatimaye kupambana na umasikini kwa njia kujiajili katika shughuli mbalimbali za ujasiliamali.
Pia shirika la VIYOSO linatoa mafunzo mbalimbali kwa vijana kupitia kituo chake cha VICTORY & FAITH TRAINING CENTRE kilichopo manispaa ya Morogoro.
yafuatayo ni baadhi ya matukio yaliyo jitokeza kwenye utekelezaji wa program mbalimbali za shirika la VIYOSO.